UDSM yaongozwa na Mstaafu

UDSM yaongozwa na Mstaafu

Mkandara, anadhalilisha wasomi na usomi, inakuwaje awe anafundisha wanafunzi kuhusu utawala wakati yeye anataka kutawala kinyume cha sheria ? Kwa umri na kuheshimiwa sheria , he has to go...
 
madaraka n kleta maendeleo kwa jamii husika! kwa hyo hakna haja ya kbadilibadl uongozi,hicho tu ndo knaharibu Afrika.
 
Nadhani kuna watu humu ndani hamjijui au mna chuki binafsi. Naomba tutofautishe Mukandala na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu. Bacelona kama he must go nenda mahakama kuu ya kazi au un ukashitaki umakamu mkuu wa chuo siyo uongozi wa kisiasa unaofuata katiba au kikundi fulani cha watu ni charther tu na si vinginevyo. Kama vipi mkamshitaki kwa wananchi au mtoe namba yake kwa wananchi. Akili za bavicha bana daaa hata mueleweshwe vipi bure tu.

Kama kweli watu aina ya mleta mada na bacelona mnajiamini na mnaamini mnachokisema humu na mna uchungu na sheria za nchi nenda kamface Mukandala muumpe hiyo mipasho ya lema, lisu, mnyika na slaaa
 
udsm . Dr lwaitama mbona na yeyebaada ya kufikisha miaka 60 walikataa kumuongezea mkataba.
 
Sistahili kukujibu kama ni wajibu wake ama la, tasnia ya elimu ya juu ina mambo tofauti kidogo.. prof wa chuo kikuu huwez kumfananisha na mfanyakazi wa TRA ambaye umri ukufika lazima astaafu, hapa tunaongelea wasomi ambao wapo wachache katika nchi, utamlazimisha vip astaafu mapema?

Embu niambie kama maprof bado wanahitajiika sana. Mbona serikali ilimtosa prof baregu kuendelea kufundisha udsm. So to dr azaveli lweitama. Embu acheni kushabikia ujinga anaendelea na cheo chake kutokana na udhaifu wa mfumo.
Hata akina kikula na mlacha wa udom wameshavuka miaka 60 ila wapo pale kwa hisani ya dhaifu no 1 na upumbafu wa wabunge wetu
 
Ndugu gwijimimi nadhani unajisahau sana, kama amepewa mkataba utajuaje? Kama yupo pasipo halali unadhani ingekuta kumetulia? Chuo kikuu hakiendeshwi kwa mitandao, maneno au siasa bali taaluma, uwezo na kukubalika na pande zote kwa kiwango kikubwa. Pia wanasaikolojia wanaamini kama ukikubalika 100% utakua na tatizo hivyo watu kama nyie lazima muwepo.

Ndugu yangu hujanielewa au labda huelew hyo ishu ya mikataba inafanyajwe
Ishu unayomis ni kwamba kama ameongezewa mkataba hawez kupewa umakamu mkkuu Wa chuo hata iwez hupew position ya uongoz ila atapewa somo la kufundisha kama profrssa that's y nakataa ukiniambia kaongezewa mkataba
 
Embu niambie kama maprof bado wanahitajiika sana. Mbona serikali ilimtosa prof baregu kuendelea kufundisha udsm. So to dr azaveli lweitama. Embu acheni kushabikia ujinga anaendelea na cheo chake kutokana na udhaifu wa mfumo.
Hata akina kikula na mlacha wa udom wameshavuka miaka 60 ila wapo pale kwa hisani ya dhaifu no 1 na upumbafu wa wabunge wetu
Mkuu hilo suala la Baregu na Azavelli ni mambo ya siasa hayo, wale walikua mrengo wa ki chadema. Na nadhani unaelewa fika kwamba ccm ndo wapo madarakani, kwahiyo vitu vingine vinatokea haviitaji ufafanuzi maana ccm ndo ipo madarakani kwahiyo its obvious watanzania hatutegemei haki itendeke kwenye baadhi ya mambo yenye utashi wa kisiasa.
 
Sifikiri kwamba Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu ni sawa na Kamishna Mkuu wa TRA. Chuo Kikuu ni taasisi ya kitaaluma tofauti na mashirika mengine ya serikali.
Kwahiyo? Acha kupotoka.UDSM ni moja ya Taasisi za kiserikali na zinasimamiwa na sheria zilezile za utumishi wa umma. Kustaafu ni miaka 60
 
Back
Top Bottom