jaman UDSM yageuka danguro mapenzi yanafanya sehem yoyote giza likiingia,mwanafunzi mmoja wa udbs(udsm school of bussiness)afumaniwa kwenye gari la mshikaji na mshikaji wake alitoka kwenye gari kwa hasira na kumpiga kichwa auxiliary police ofisa hadi kumpasua kwenye paj la uso ,ndipo mwanaume huyo alikamatwa na kupelekwa kituon ndipo alipigwa fain ya shiling 3,000,000 na kuachiwa na katoto hako ka kike ni mwaka wa kwanza hata shule hakajazoea kanabembeleza viongiz wa DARUSO JAMBO HILI LISIFIKE Mbali kwan ofice ya dean of students ikifaham atafukuzwa chuo kwa MUJIBU wa sheria ndogo ndogo za chuo,jaman dunia imekwisha ,maeneo ya hall 3 kwa maeneo ya campus ndo uwanja wa vita kama meada ,buguruni au ambiance,jaman wengine wanauza kabisa kunavyumba maalum ukitaka unapelekwa unapata service this is terrible ma dear
Hayo mambo yapo. Kuanzia sekondari kwa sisi tuliosoma mixture tunafahamu. Kama roho inakuuma na wewe tafuta wa kwako.
Udsm ilikuwa zamani bhana, siku hizi watu wanasomea madirishani!!?? siku hizi watu waoga kama nini? kipindi hicho FOE inaitwa FOE. Tatizo siku hizi hata wenye Div. III na IV wanaenda unategemea nini?
Kwani pale Main Campus kuna Blocks hizo unazotaja? Mimi nilifikiri kuna hall 1, 2, 3, 5, 6 na kadhalika halafu Mabibo ndio kuna Block A mpaka G (pale kwenye tanki). Sioni cha ajabu hapa mambo hayo yapo kila sehemu, kila chuo na hata huku uraiani> By the way watoto wamekosa mikopo sasa wafanyeje na maisha mjini yanakaba?Hall 3 block gani? A, B,C,au D ?? kuwa specific bwana
Kwani pale Main Campus kuna Blocks hizo unazotaja? Mimi nilifikiri kuna hall 1, 2, 3, 5, 6 na kadhalika halafu Mabibo ndio kuna Block A mpaka G (pale kwenye tanki). Sioni cha ajabu hapa mambo hayo yapo kila sehemu, kila chuo na hata huku uraiani> By the way watoto wamekosa mikopo sasa wafanyeje na maisha mjini yanakaba?
jaman UDSM yageuka danguro mapenzi yanafanya sehem yoyote giza likiingia,mwanafunzi mmoja wa udbs(udsm school of bussiness)afumaniwa kwenye gari la mshikaji na mshikaji wake alitoka kwenye gari kwa hasira na kumpiga kichwa auxiliary police ofisa hadi kumpasua kwenye paj la uso ,ndipo mwanaume huyo alikamatwa na kupelekwa kituon ndipo alipigwa fain ya shiling 3,000,000 na kuachiwa na katoto hako ka kike ni mwaka wa kwanza hata shule hakajazoea kanabembeleza viongiz wa DARUSO JAMBO HILI LISIFIKE Mbali kwan ofice ya dean of students ikifaham atafukuzwa chuo kwa MUJIBU wa sheria ndogo ndogo za chuo,jaman dunia imekwisha ,maeneo ya hall 3 kwa maeneo ya campus ndo uwanja wa vita kama meada ,buguruni au ambiance,jaman wengine wanauza kabisa kunavyumba maalum ukitaka unapelekwa unapata service this is terrible ma dear
i wish u all the best in ur nyt activities.
UNIVERSITY OF PROSTITUTE DAR-ES-SALAAM
hamna elimu hapo,,watu wanamaliza na mimba, wengine ni ndoa..... ... hawasoni haoooooooo
UNIVERSITY OF PROSTITUTE DAR-ES-SALAAM
hamna elimu hapo,,watu wanamaliza na mimba, wengine ni ndoa..... ... hawasoni haoooooooo
jaman UDSM yageuka danguro mapenzi yanafanya sehem yoyote giza likiingia,mwanafunzi mmoja wa udbs(udsm school of bussiness)afumaniwa kwenye gari la mshikaji na mshikaji wake alitoka kwenye gari kwa hasira na kumpiga kichwa auxiliary police ofisa hadi kumpasua kwenye paj la uso ,ndipo mwanaume huyo alikamatwa na kupelekwa kituon ndipo alipigwa fain ya shiling 3,000,000 na kuachiwa na katoto hako ka kike ni mwaka wa kwanza hata shule hakajazoea kanabembeleza viongiz wa DARUSO JAMBO HILI
mbona uko nje ya mada mkuu,hayo mambo ya FOE na kusomea madirishan yanahusiana nin na mada inayozungumzwa?
Kwani pale Main Campus kuna Blocks hizo unazotaja? Mimi nilifikiri kuna hall 1, 2, 3, 5, 6 na kadhalika halafu Mabibo ndio kuna Block A mpaka G (pale kwenye tanki). Sioni cha ajabu hapa mambo hayo yapo kila sehemu, kila chuo na hata huku uraiani> By the way watoto wamekosa mikopo sasa wafanyeje na maisha mjini yanakaba?