heheh,Ila jamani tumekuwa watu wa kukosoa sana,kama wewe unajiamini kaa chini toka na Sample yako the uwapelekee mlimani uone kama wataikataa,nimewahi kufanya hivi kwenye website moja tena ni nyeti katika Database yao wakaniappreciate.
Nini napenda kusema ni kuwa tuwe tunatoa kasoro pamoja na kuja na suluhisho kwani sisi Watanzania ni watu wa kuongea mno,maneno matupu hayajengi wakuu,By the way sisi katika IT huwa tunaongea kwa vitendo,Yangu machache.