Winning Team
Member
- Jul 12, 2018
- 89
- 89
Habari wakuu,
nimeona leo ardhi wametoa majina ya waliochaguliwa kozi mbalimbali kwa mwaka 2018/2019; mwenye taarifa zozote kuhusu UDSM;
ukizingatia nimeskia TCU wanataka mpaka tarehe 4 wanafunzi waCONFIRM kozi zao na vyuo husika.
nimeona leo ardhi wametoa majina ya waliochaguliwa kozi mbalimbali kwa mwaka 2018/2019; mwenye taarifa zozote kuhusu UDSM;
ukizingatia nimeskia TCU wanataka mpaka tarehe 4 wanafunzi waCONFIRM kozi zao na vyuo husika.
