Electrical kawaida tuu ..Mmh sema kweli,, mi nakuja electrical hapo
hapanaMkuu wewe ni muhaya..!!?
shikamoo dadaBoom limeshatoka? Wakati naanza chuo tulikuwa tunapokea Tsh 2,500 per day. Maisha yalikuwa magumu sana...
Bado mpaka round zote zipite*Hivi admission letter c wanatoa kuanzia mda huu pale UDSM
Unatakiwa kwenda na nini na nn?*
Ukweli mtupuuu wambie madogo wajipange chuo s poaSimnasemaa chuo bata boom la magu haliliki kizembe, Msuli wa chuo n zaidi ya advanc, huku utatoboa hata kama ulikuwa hujawah, ukuzubaa unarud home
njoo pm nikuunganishe na mwaka wa kwanza wenziomwenye link ya group la udsm
weka link hapanjoo pm nikuunganishe na mwaka wa kwanza wenzio