UDSM Students' Death Announcement

UDSM Students' Death Announcement

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,803

1-cf9e514aa2.jpg



2-9fae582820.jpg



 
Poleni sana wapendwa!! Mpaka hii Serikali ya CCM ing'oke Hapo October 2015, tutaendelea kuishi tu kwa majaliwa ya MOLA
 
Mwenyezi Mungu uzipe uvumilivu familia za marehemu hao.Hii ni habari ya huzuni na majonzi makubwa kwa jamii ya chuo kikuu cha Dsm.Nakumbuka enzi tunasoma pale UDSM,kwa kweli vifo vya wanafaunzi vilikuwa ni nadra sana na pale kilipotokea ubao wa matangazo ulikuwa uunazingirwa na wanafunzi kwa majonzi na huzuni kubwa sana!!
 
Nguvu kazi nyingine imepotea,poleni sana jumuia ya udsm,wazazi,walezi,ndugu,jamaa na wote waliopoteza wapendwa wao.
 
Mwenyezi Mungu zilaze roho za Marehemu mahali pema Amina, ila nanyi watu wa vyama sio kila mahali mnaingia na siasa zenu mnatukera. Anzisha mada ya kwako ilezea udhaifu wa ccm na ikbidi na serikali yake.
 
Jamani, Mungu kwanini kawachukua vijana wadogo hawa ambao hata hawajafikia ndoto zao, kwanini asingechukua roho za mafisadi wa escrow hata 20 akawaacha hawa vijana waliokuwa wakielekea kutimiza ndoto zao. MUNGU awape uvumilivu familia za marehemu.
 
Mwisho wa mwanadamu huwa ni fumbo kubwa. RIP wanafunzi!
 
Mwenyezi Mungu zilaze roho za Marehemu mahali pema Amina, ila nanyi watu wa vyama sio kila mahali mnaingia na siasa zenu mnatukera. Anzisha mada ya kwako ilezea udhaifu wa ccm na ikbidi na serikali yake.

Poleni wafiwa na jumuiya ya UDSM kwa ujumla inaumiza sana....pia tujfunze si kila mahali kuweka siasa
 
Back
Top Bottom