Hayo matokeo sio rasmi ndio maana mnaona majina mengine yameandikwa 'do not admit'. Haya yamewekwa na mtu asiye na ruhusa ya kufanya hivyo. List rasmi itawekwa kwenye website ya chuo baada ya mchakato kukamilika.
Tunaomba wenye tabia ya kutoa habari kabla ya muda waache kutuchanganya