Mpaka madogo wote walioko mtaani kwa kukosa mkopo watakapopewa,na hao raia wenzetu 15 walofukuzwa chuo watakapo rejeshwa chuon ndo na sisi tutafungua chuo.
Tatizo bajeti ipo kwa ajili ya kununulia Mabomu ya kuwapigia CDM, UDSM, Mbeya, Arusha, Makumira na wengineo, sasa wapate wapi pesa za kuwalipia wanafunzi?
Sina kawaida ya kumdharau mtu hata kidogo regardless kiasi gani cha pumba ameongea, lakini naanza kukudharau... Hata kama unafanya makusudi lakini wakati mwingine onyesha shukrani kwa Mwenyezi Mungu aliyekuumba kama mwanadamu... Meaning amekupa uwezo wa kuona na kupambanua mambo... Inanisikitisha sana sana... Utakuwa mnafiki mpaka lini ? Tatizo lako ni nini hasa ? Inawezekana unahitaji ushauri nasaha... To be honest, I cant figure out what kind of person you are.. Sio lazima u-comment kama huna cha kusema... Kaa kimya na sio unachafua hali ya hewa hapa kila kukicha na ushuzi wako mwanzo mwisho... Inawezekana wewe ni baba mwenye watoto wanaokutegemea na kukuona wewe ni nguzo na muhimili katika maisha yao, then unakuwa una-act childish every now and then.. Grow up my friend...
Hii ndio inawapa viongozi wetu kiburi wakiamini Watanzania watabaki kuwa wajinga na mabwege kila siku, kwa sababu tuu unanunulika au unafaidika na kiongozi mmoja au kadhaa then unatoa utu wako? Unafikiri hao kunaofaidika nao hawajui kuwa wanakutumia ? At end of the day utatupwa kama used condom... Naamini wewe sio mjinga bali fadhila na takrima za hawa viongozi zimekupumbaza... Halafu unakuta huyu ndio boss wako, lazima uache kazi kwa frustrations... Nimevumilia sana lakini imeshindikana...
Polisi wanarandaranda na landcruiser mkonge...chochote kinaweza kutoka ndani ya muda mfupi ujao....achaneni na malumbano ya akina rejao...uwepo wake udsm ni mdogo kuliko sisi tuliokuwa involved katika huu mgomo...bado tupo rev square....negotiations zinaendelea kufanyika na mwakilishi wa daruso pamoja na uwezekano wa kupata muafaka kuwa mdogo kadri mda unavyo kwenda
fix man,kwa kuwa unapajua ud basi ndio unataja as if u know ndani admstn kuna nini,hata kama upo hapo pengine ni unasubiri daladala hapo kituon.naona punga upo kazini.
mpaka kieleweke maana nguvu wanazo tumia hawa vijana wa policcm ni kubwa mno pia wanafurahi tunavyopoteza vitu vyetu kwani vinawanufaisha wao na familia zao.