Kumbukeni UDSM inakufa hata kina Prof. Kabudi, Dr. Mvungi, Dr. Fauz na majembe kibao wameanzisha chuo chao kinaitwa university of bagamoyo. Hapo watabaki kina Misanya Bingi na kundi lake pamoja na dr. Bana na Mukandara.
Huyu Mzee siku moja nchi itakuja ona umuhimu wa kuwaacha watu kama hawa. Dr. Lwaitama ni kichwa zaidi ya vichwa vingi hapa UDSM, may be kwa kuwa hata chuo kimebaki kuongozwa na watu wale wale wa sera zile zile za ndiyo mzee, ndiyo maana tunaona hata chuo hakijipambanui kufanya mageuzi halisi katika taifa. No new ideas at UDSM, Research zimebaki za kisiasa tu (REDET) HAKUNA SCIENTIFIC RESEARCH for scientific revolution katika nchi hii.Ktk taarifa ya habari ya jana mlimani tv nilimuona doctor mashuhuri na mtaalam bingwa wa siasa za africa na dunia kwa ujumla doctor Azaveli Rweitama akichambua kwa ufanisi mkubwa kuhusu kuundwa kwa baraza jipya la mawaziri.
Kama kawaida yake alichambua kwa ufanisi mkubwa sana, alisema mfumo mzima wa serikali ni mbovu kuanzia chini. Chakushangaza ni pale nilipoona maandishi haya kwenye jina lake, doctor Azaveli Rweitama mhadhiri mstaafu udsm!!!.
Hivi kwa nini wataalam ambao si wanafki wanaondolewa udsm? Tunajua labda mkataba wake umeisha lakini umri wake bado unaruhusu sana. Kwa siasa za Tanzania usishangae yakamkuta ya Profesa Baregu!, lakini naamini chuo kinachokuja juu sana Kwa sasa St Agustino hawatamwacha mtaalamu huyu kama udsm watamwacha bingwa huyu wa siasa.
Nakumbuka usemi wake mmoja aliowahi kuusema pengine ulikuwa shubiri kwa ccm, alisema hivi (MIMI NI CCM MFU! Mwanachama asiyelipia kadi!) tafakari maneno haya kabla ya kuchangia.
UDSM MUDA SI MREFU ITAKUWA KAMA CHUO KIKUU CHA KATA! WANAINGIZA SIASA ZISIZO NA TIJA. HIVI KWELI KULIKUWA NA MANTIKI YA KUMTOSA BAREGU? NA KAMA UNAVYOSEMA WANATAKA KUJICHANGANYA TENA KWA JEMBE LINGINE, Dr. LWAITAMA!!!..... HALAFU WAWAUNDIE ZENGWE KINA MKUMBO, BASHIRU, PARAMAGANDA.....
Hata uwe muhim kiasi gani umri wa kustaafu utumishi wa uma unapofika yabidi ukae pembeni upishe wengine wapate nafasi
Ktk taarifa ya habari ya jana mlimani tv nilimuona doctor mashuhuri na mtaalam bingwa wa siasa za africa na dunia kwa ujumla doctor Azaveli Rweitama akichambua kwa ufanisi mkubwa kuhusu kuundwa kwa baraza jipya la mawaziri.
Kama kawaida yake alichambua kwa ufanisi mkubwa sana, alisema mfumo mzima wa serikali ni mbovu kuanzia chini. Chakushangaza ni pale nilipoona maandishi haya kwenye jina lake, doctor Azaveli Rweitama mhadhiri mstaafu udsm!!!.
Hivi kwa nini wataalam ambao si wanafki wanaondolewa udsm? Tunajua labda mkataba wake umeisha lakini umri wake bado unaruhusu sana. Kwa siasa za Tanzania usishangae yakamkuta ya Profesa Baregu!, lakini naamini chuo kinachokuja juu sana Kwa sasa St Agustino hawatamwacha mtaalamu huyu kama udsm watamwacha bingwa huyu wa siasa.
Nakumbuka usemi wake mmoja aliowahi kuusema pengine ulikuwa shubiri kwa ccm, alisema hivi (MIMI NI CCM MFU! Mwanachama asiyelipia kadi!) tafakari maneno haya kabla ya kuchangia.
Ukweli unakuweka HURU, Juzi niliona mahala panasema Dr Lwaitama atakua mmoja ya watu watakao hutubia mkutano wa wasomi wa vyuo vikuu sinza, ni mkutano wa CDM. Mi nadhani serikali haipendi kufanya kazi na wasomi waliowakweli na wenyemwelekeo wa kuunga mkono Upinzani, Sa sijui ni nani msomi asieunga mkono Mageuzi kwa sasa
Ktk taarifa ya habari ya jana mlimani tv nilimuona doctor mashuhuri na mtaalam bingwa wa siasa za africa na dunia kwa ujumla doctor Azaveli Rweitama akichambua kwa ufanisi mkubwa kuhusu kuundwa kwa baraza jipya la mawaziri.
Kama kawaida yake alichambua kwa ufanisi mkubwa sana, alisema mfumo mzima wa serikali ni mbovu kuanzia chini. Chakushangaza ni pale nilipoona maandishi haya kwenye jina lake, doctor Azaveli Rweitama mhadhiri mstaafu udsm!!!.
Hivi kwa nini wataalam ambao si wanafki wanaondolewa udsm? Tunajua labda mkataba wake umeisha lakini umri wake bado unaruhusu sana. Kwa siasa za Tanzania usishangae yakamkuta ya Profesa Baregu!, lakini naamini chuo kinachokuja juu sana Kwa sasa St Agustino hawatamwacha mtaalamu huyu kama udsm watamwacha bingwa huyu wa siasa.
Nakumbuka usemi wake mmoja aliowahi kuusema pengine ulikuwa shubiri kwa ccm, alisema hivi (MIMI NI CCM MFU! Mwanachama asiyelipia kadi!) tafakari maneno haya kabla ya kuchangia.
Ktk taarifa ya habari ya jana mlimani tv nilimuona doctor mashuhuri na mtaalam bingwa wa siasa za africa na dunia kwa ujumla doctor Azaveli Rweitama akichambua kwa ufanisi mkubwa kuhusu kuundwa kwa baraza jipya la mawaziri.
Kama kawaida yake alichambua kwa ufanisi mkubwa sana, alisema mfumo mzima wa serikali ni mbovu kuanzia chini. Chakushangaza ni pale nilipoona maandishi haya kwenye jina lake, doctor Azaveli Rweitama mhadhiri mstaafu udsm!!!.
Hivi kwa nini wataalam ambao si wanafki wanaondolewa udsm? Tunajua labda mkataba wake umeisha lakini umri wake bado unaruhusu sana. Kwa siasa za Tanzania usishangae yakamkuta ya Profesa Baregu!, lakini naamini chuo kinachokuja juu sana Kwa sasa St Agustino hawatamwacha mtaalamu huyu kama udsm watamwacha bingwa huyu wa siasa.
Nakumbuka usemi wake mmoja aliowahi kuusema pengine ulikuwa shubiri kwa ccm, alisema hivi (MIMI NI CCM MFU! Mwanachama asiyelipia kadi!) tafakari maneno haya kabla ya kuchangia.
Kumbukeni UDSM inakufa hata kina Prof. Kabudi, Dr. Mvungi, Dr. Fauz na majembe kibao wameanzisha chuo chao kinaitwa university of bagamoyo. Hapo watabaki kina Misanya Bingi na kundi lake pamoja na dr. Bana na Mukandara.
Hivi Mkuu wa Chuo, Dr Hawa Ghasia, atakua hajapita hapo na kalamu yake nyekundu kweli kama ambavyo alivyofanya kwa Prof Baregu??
Ktk taarifa ya habari ya jana mlimani tv nilimuona doctor mashuhuri na mtaalam bingwa wa siasa za africa na dunia kwa ujumla doctor Azaveli Rweitama akichambua kwa ufanisi mkubwa kuhusu kuundwa kwa baraza jipya la mawaziri.
Kama kawaida yake alichambua kwa ufanisi mkubwa sana, alisema mfumo mzima wa serikali ni mbovu kuanzia chini. Chakushangaza ni pale nilipoona maandishi haya kwenye jina lake, doctor Azaveli Rweitama mhadhiri mstaafu udsm!!!.
Hivi kwa nini wataalam ambao si wanafki wanaondolewa udsm? Tunajua labda mkataba wake umeisha lakini umri wake bado unaruhusu sana. Kwa siasa za Tanzania usishangae yakamkuta ya Profesa Baregu!, lakini naamini chuo kinachokuja juu sana Kwa sasa St Agustino hawatamwacha mtaalamu huyu kama udsm watamwacha bingwa huyu wa siasa.
Nakumbuka usemi wake mmoja aliowahi kuusema pengine ulikuwa shubiri kwa ccm, alisema hivi (MIMI NI CCM MFU! Mwanachama asiyelipia kadi!) tafakari maneno haya kabla ya kuchangia.