tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Hivi hakuna magazeti zaidi ya Mzalendo, uhuru na habari leo? Haya ndiyo magazeti wanayoyajaza pale library.
Gomeni mletewe Mwanahalisi!
Hivi hakuna magazeti zaidi ya Mzalendo, uhuru na habari leo? Haya ndiyo magazeti wanayoyajaza pale library.
Tuongelee ya Kiswahili tuone. Nadhani ni kweli wanakwepa magazeti hot.Wewe uache kusema uongo, hivi the guardian, the daily news, the citizen, na mengine mengi hujayaona pale
Wewe uache kusema uongo, hivi the guardian, the daily news, the citizen, na mengine mengi hujayaona pale
Na Tanzania Daima.
Nashanga!
Ina maana UDSM ni taasisi ya Chama Cha Magamba-CCM?Aise ni aibu ati kukuta msomi mzima anasoma Uhuru na Mzalendo vijigazeti vilivojaa umbeya wa kina Nnape na Riz1.Aibu!!!
Someni pia Mwananchi na gazeti dada la The Citizen. Mtazidi kuelimika badala ya kusoma umbeya wa CCM.