mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
UDSM tarehe ya kufungua chuo kwa mwaka wa kwanza wapya ni tatere 17-09-2012. Mara ya kwanza tarehe ilikuwa imesetiwa 1 -10-2012 lakini mabadiliko yamefanyika ,na kila form 1 mpya anatakiwa aripoti tarehe hiyo. joining instruction letter utapewa hapa hapa UDSM , katika jengo maarufu NKURUMAH. kARIBUNI SANA , na msisahau kutupa kaka zenu na dada zenu sehemu ya kulala( kubebana) .\
BY MWANAHARAKATI UDSM
BY MWANAHARAKATI UDSM