KWETU PAZURI
Senior Member
- Oct 14, 2011
- 161
- 26
Kila siku wanagoma kwa malengo tofauti yasiyo na tija, nawakilisha
Kila siku wanagoma kwa malengo tofauti yasiyo na tija, nawakilisha
Kila siku wanagoma kwa malengo tofauti yasiyo na tija, nawakilisha
Instead of being an academic year, it will be migomo year, that is udsm
Sio tu mwaka huu "ni mwaka wa migomo",siku zote "academic year=migomo year"
we tangu upate div 3 na kukosa kujiunga Udsm(state university) roho inakuuma sana..
apate 3 aringe?alikula boonge la 4,ndo maana yuko huko mvomero!!
watu kibao hatujasoma udsm lkn tumepata kazi na tunashikilia vitengo
We ni mjinga na huna akili hata kidogo mpumbavu wewe. Unakipaka chuo matope bila facts....unajua maisha ya huku au unaropoka tu? hivi wewe umeishia darasa la ngapi? inaonekana hata form 6 haijafika. Usiropoke bila kuwa facts mkuu. Mi umenikera na hii post yako. Kama huna topic kachome maindi na sio kuweka posts za kijinga kama hizi. (im mad)Kila siku wanagoma kwa malengo tofauti yasiyo na tija, nawakilisha
We ni mjinga na huna akili hata kidogo mpumbavu wewe. Unakipaka chuo matope bila facts....unajua maisha ya huku au unaropoka tu? hivi wewe umeishia darasa la ngapi? inaonekana hata form 6 haijafika. Usiropoke bila kuwa facts mkuu. Mi umenikera na hii post yako. Kama huna topic kachome maindi na sio kuweka posts za kijinga kama hizi. (im mad)