boblyy sams
Member
- Jul 1, 2015
- 26
- 32
habarini za muda huu wakuu
Kwanza napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa uongozi wa chuo kikuu cha Dar-es-salaam kwa juhudi zao juu ya hili suala la mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu
Pili ningependa kuonyesha kuridhishwa kwangu kuwa udsm ni chuo baba hapa Tanzania kwa kwa mfano tu wa hili jambo la mikopo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza.Uongozi wa udsm umefanya kazi kubwa sana juu ya hili suala na matunda yake yatawafikia vijana wote ambao watasoma vyuo vingine(watoto wa udsm). Ni ukweli usio pingika kuwa kama udsm wangekaa kimya na kusaini ile mikopo basi hamna chuo kingine ambacho kingeweza kufuatilia juu ya hili suala.Tumshukuru tu baba kwa kutuwekea mazingira mazuri sisi watoto.
Hongereni udsm
Ukweli utabaki ni ukweli hata ukisemwa na mtu mmoja kati ya million na uongo utabaki kuwa uongo hata ukisemwa na watu million na kupingwa na mtu mmoja
Kwanza napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa uongozi wa chuo kikuu cha Dar-es-salaam kwa juhudi zao juu ya hili suala la mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu
Pili ningependa kuonyesha kuridhishwa kwangu kuwa udsm ni chuo baba hapa Tanzania kwa kwa mfano tu wa hili jambo la mikopo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza.Uongozi wa udsm umefanya kazi kubwa sana juu ya hili suala na matunda yake yatawafikia vijana wote ambao watasoma vyuo vingine(watoto wa udsm). Ni ukweli usio pingika kuwa kama udsm wangekaa kimya na kusaini ile mikopo basi hamna chuo kingine ambacho kingeweza kufuatilia juu ya hili suala.Tumshukuru tu baba kwa kutuwekea mazingira mazuri sisi watoto.
Hongereni udsm
Ukweli utabaki ni ukweli hata ukisemwa na mtu mmoja kati ya million na uongo utabaki kuwa uongo hata ukisemwa na watu million na kupingwa na mtu mmoja