UDSM chuo baba

UDSM chuo baba

Hongereni kwa jaribio hiloo,japo kiki mmeipata haswaaa ila kwa taaluma siku hizi mnachemka sana mpaka makazini wanduguuu,msisahau kuondoa na hizo kozi mbili hewa za ARCHITECTURE NA MEDICINE mpaka rais kastukia daaaaah
 
Hongereni kwa jaribio hiloo,japo kiki mmeipata haswaaa ila kwa taaluma siku hizi mnachemka sana mpaka makazini wanduguuu,msisahau kuondoa na hizo kozi mbili hewa za ARCHITECTURE NA MEDICINE mpaka rais kastukia daaaaah
mkuu ni kozi hewa kivipi
 
mkuu ni kozi hewa kivipi
unavyozungumzia architecture basi ni pana mno,na ardhi hapo ndo nyumbani kwake so wanakila kitu but udsm walianzisha nafikiri sasa ni mwaka wa3 huu japo waona jinsi wanavyobidi kutegemea department ya architecture hapo ardhi,Pili kwa kozi ya medicine,udsm haijajitosheleza kwa mengi sana kuanzia maabara,malecture,hospital na hata vifaaa,na kumbuka hiyo ni medicine na si nursing kwa ngazi ya certificate,so hata rais kaliona hili kwenye uwekaji wa jiwe msingi la kufungua hostel kanote naneno yake
 
unavyozungumzia architecture basi ni pana mno,na ardhi hapo ndo nyumbani kwake so wanakila kitu but udsm walianzisha nafikiri sasa ni mwaka wa3 huu japo waona jinsi wanavyobidi kutegemea department ya architecture hapo ardhi,Pili kwa kozi ya medicine,udsm haijajitosheleza kwa mengi sana kuanzia maabara,malecture,hospital na hata vifaaa,na kumbuka hiyo ni medicine na si nursing kwa ngazi ya certificate,so hata rais kaliona hili kwenye uwekaji wa jiwe msingi la kufungua hostel kanote naneno yake
mkuu fasiliteta nimekuelewa
 
unavyozungumzia architecture basi ni pana mno,na ardhi hapo ndo nyumbani kwake so wanakila kitu but udsm walianzisha nafikiri sasa ni mwaka wa3 huu japo waona jinsi wanavyobidi kutegemea department ya architecture hapo ardhi,Pili kwa kozi ya medicine,udsm haijajitosheleza kwa mengi sana kuanzia maabara,malecture,hospital na hata vifaaa,na kumbuka hiyo ni medicine na si nursing kwa ngazi ya certificate,so hata rais kaliona hili kwenye uwekaji wa jiwe msingi la kufungua hostel kanote naneno yake
Kama hii ndo hoja yako kuita architecture ya udsm ni hewa basi hapo ardhi course nyingi sana zitafutwa. Watu wa ardhi wanaosoma civil wanakuja kufanya workshop udsm na wanatumia laboratory za udsm, mbona hilo hulizungumzii. Hapo ardhi pia karibu 70%ya walimu wa civil wanategemea walimu kutoka CoET.
Kama hujui vitu ni bora unyamaze tu, course huwa hazianzishwi tu kienyeji enyeji bila kukidhi viwango.
 
Kama hii ndo hoja yako kuita architecture ya udsm ni hewa basi hapo ardhi course nyingi sana zitafutwa. Watu wa ardhi wanaosoma civil wanakuja kufanya workshop udsm na wanatumia laboratory za udsm, mbona hilo hulizungumzii. Hapo ardhi pia karibu 70%ya walimu wa civil wanategemea walimu kutoka CoET.
Kama hujui vitu ni bora unyamaze tu, course huwa hazianzishwi tu kienyeji enyeji bila kukidhi viwango.
Ningefurahi sasa kusema UDSM nao wameanza kuungaunga baadhi ya kozi,nafkiri mantiki kuu hukuielewa,kwa chuo kikubwa kama UD bado kinapaswa kujitegemea kwa mengi,kwa kukusaidia tu ni kua hata vyuo vingi huenda kufanya practical pale COET ikiwamo SUA ktk coz ya AGRICULTURE ENGINEERING,na kwa hapo ardhi wanashuka daily,Tatizo si mtoto kumtegemea baba kumlea,ila pale baba anapolia na kudeka kwa mtoto hapo ndo tatzo linapoanzia.RAIS kamaliza kila kitu leo na bila shaka mukandara kaelewa,kwa kukuongezea tu unavyozungumzia ARCHITECTURE unakua umeigusa ardhi na si mbeya tech ambao nao wana architecture,mukandara ajipange naye asiwe anaanzisha coz kwa kufata mkumbo kama vyuo vingine afu wategemea kwa jiran
 
Ningefurahi sasa kusema UDSM nao wameanza kuungaunga baadhi ya kozi,nafkiri mantiki kuu hukuielewa,kwa chuo kikubwa kama UD bado kinapaswa kujitegemea kwa mengi,kwa kukusaidia tu ni kua hata vyuo vingi huenda kufanya practical pale COET ikiwamo SUA ktk coz ya AGRICULTURE ENGINEERING,na kwa hapo ardhi wanashuka daily,Tatizo si mtoto kumtegemea baba kumlea,ila pale baba anapolia na kudeka kwa mtoto hapo ndo tatzo linapoanzia.RAIS kamaliza kila kitu leo na bila shaka mukandara kaelewa,kwa kukuongezea tu unavyozungumzia ARCHITECTURE unakua umeigusa ardhi na si mbeya tech ambao nao wana architecture,mukandara ajipange naye asiwe anaanzisha coz kwa kufata mkumbo kama vyuo vingine afu wategemea kwa jiran
Kuazimana walimu popote pale kupo. By the way ulitaka udsm watoe wapi walimu kama sio kutoka Ardhi, labda kama ungesema hawana walimu kabisa ndo ningekuelewa.
 
Back
Top Bottom