MwanazuoniMJ
Member
- Nov 28, 2012
- 66
- 30
Habari wana udsm wote wapya na wale wanaoendelea ..uzi huu ni maalum kwa ajili ya kuexhange room au kuuza room kwa wale wanaohitaji kwenda kukaa nje karibuni sana tujipange na 2017/18.....
me continuous mkuu...Ww cont? Nipate dogo anipe kwa magu nimtoe laki mbili