jamaangu dereva alimvusha mmoja hadi Dom waanza kuishi kama mke na mme,,,,, haikupita mwezi kuingia ndani tunakumbana na mwangwi!! Sijui alibebaje vitu vya ndani hadi Rwanda
jamaangu dereva alimvusha mmoja hadi Dom waanza kuishi kama mke na mme,,,,, haikupita mwezi kuingia ndani tunakumbana na mwangwi!! Sijui alibebaje vitu vya ndani hadi Rwanda
hawa wadudu nimewatumia kiasi cha kutosha. Mungu hawezi kukupa kila kitu, bahati mbaya mashine zao sio poa kivile, nyingi nilizokutana nazo ni oversize, halafu hawajui kujituma kwenye 6x6