Udongo mfinyanzi kutoka Rwanda

Mbona wadada wa tz wanatoka bila kuwasofia majirani zao humu au ndo roho mbaya zao na wanahisi kuibiwa tayari?!
 
jamaangu dereva alimvusha mmoja hadi Dom waanza kuishi kama mke na mme,,,,, haikupita mwezi kuingia ndani tunakumbana na mwangwi!! Sijui alibebaje vitu vya ndani hadi Rwanda
penye njaa. akili hupatikana
 
Huyo wa mwisho nahisi kama ana k mnato vile
 
hawa wadudu nimewatumia kiasi cha kutosha. Mungu hawezi kukupa kila kitu, bahati mbaya mashine zao sio poa kivile, nyingi nilizokutana nazo ni oversize, halafu hawajui kujituma kwenye 6x6
 
Kwa hiyo Mungu anapendelea? Wengine alifinyanga tu akiwa busy? Maadam alitumia udongo alikua na oven tofauti akiwa na malengo yake na hakosolewi.
Hapana mkuu, umeniwacha nicheke kwa sauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…