Udom yatema majina 153 leo!

Mr egm

Senior Member
Jan 24, 2014
153
6
Ni wale nacte wamafunz yapata 153 wa masomo ya sayansi na hesabu!
Angalia ktk web yao ipo batch ya 6 hapo
Asanten!
 
Ni wale nacte wanafunz yapata 153 wa masomo ya sayansi na hesabu!
Angalia ktk web yao ipo batch ya 6 hapo
Asanten!
 
Ni wale nacte wanafunz yapata 153 wa masomo ya sayansi na hesabu!
Angalia ktk web yao ipo batch ya 6 hapo
Asanten!

ndugu zangu continous students ambaowengi walikosa mkopo mwaka jana kuna tetesi na uvumi unaosikika sana kuhusu upataji wa mikopo..kisheria mnahaki ya kupata mikopo kabisa ila kuna tatizo moja ambalo maloan officerwengi aswa hapa udsm husa hawapeleki taarifa zenu board ya mikopo huwa wanawatu wao wanaowafahamu wao hili limekuwa tatizo sana ndugu zangu kuna rafiki yangu ilimkuta mwaka jana kipindi cha kuappeal mkopo taarifa zake hazikupelekwa heslb kufanya hakose mkopo alipoenda pale aliambiwa data zake hazipo na alikuwa na haki ya kupata mkopo... Ushauri wangu continous nendeni heslb mkahakikishe kama taarifa zenu zipo na kama hazipo rudi haraka chuoni kwako kwa loan officer mkazie maana ni wala rushwa wakubwa... Takukuru tunaomba ingilien kati kwa hawa loan officer.bila kuwa fighter wa haya matatizo na nihaki yako kufuatilia mkopo utausikia tu kwa watu wengine
 
ndugu zangu continous students ambaowengi walikosa mkopo mwaka jana kuna tetesi na uvumi unaosikika sana kuhusu upataji wa mikopo..kisheria mnahaki ya kupata mikopo kabisa ila kuna tatizo moja ambalo maloan officerwengi aswa hapa udsm husa hawapeleki taarifa zenu board ya mikopo huwa wanawatu wao wanaowafahamu wao hili limekuwa tatizo sana ndugu zangu kuna rafiki yangu ilimkuta mwaka jana kipindi cha kuappeal mkopo taarifa zake hazikupelekwa heslb kufanya hakose mkopo alipoenda pale aliambiwa data zake hazipo na alikuwa na haki ya kupata mkopo... Ushauri wangu continous nendeni heslb mkahakikishe kama taarifa zenu zipo na kama hazipo rudi haraka chuoni kwako kwa loan officer mkazie maana ni wala rushwa wakubwa... Takukuru tunaomba ingilien kati kwa hawa loan officer.bila kuwa fighter wa haya matatizo na nihaki yako kufuatilia mkopo utausikia tu kwa watu wengine

ukweli mtupuu
 
Walinambia et nirud badalaake nikakomaa mpaka nikafanikisha yooote vizur ma wengne msikate tamaa hakikisheni. mnafata procedure mkapate vyuo kwa wale nacte jaman
 
Samahani ADMISSION LETTER TUTAPATA VIPI KWA WALIOKUA SELECTED BATCH 6

walisema ktk utawala mkuu hapa udom kuwa siku ya ijumaa saa sifa Ilikuw watoe admissions ila cha kushangaza hadi sasa bado hamna kitu.
Ngoj tuangalie jtatu office kuu watupe majibu direct!
Ushauri kama Jina lako lipo ktk hao 153 ktk batch ya 6 funga safar njoo chuoni!
 
panda office na 69 niko reception ndo nmetok c mda wakasema saa nne admissions zitakuw ok!
 
Back
Top Bottom