Johnson Alex Otieno
Senior Member
- Mar 14, 2013
- 175
- 61
Hoja za wagombea,kuchelewa bumu,maji kuwa adimu,umeme kuondoa giza,wagombea wengi bado hawana strategies kwa uchindi,yupo hapa faustine anapiga kampeni kwa ndugu abel kama rais.
hizo mbona zipo? kwani
hao marais wanapeleka maji udom? au serikali ya TZ? vipi udini safari
hii hamna? au bado hawajapewa maelekezo? cha msingi chgueni watu makini
wenye hoja ya kuwatetea watu wanaoonewa kwenye sup na carry,na masuala
ya mikopo, ayo masuala ya maji, umeme hayawahusu.
pole sana, ukishangaa ya udini wa udom, utakuja ona ya matusi bungeni, hii ndo TZ tuliyonayo. tena ile clip nouma eti msiwachague makafili hao, du ila cha moto walikiona wenyewe baada ya uchaguzi.sitakaa nisahau ile clip ya waislam wakipanga mikakati ya kuwazima wakristo kwenye uchaguzi kwenye kikao chao kilichofanyika college of education!! sikuamini kama hali ipo hivyo udom!!!! Mungu atunusuru na udini.
Mnaojiita wasomi mtadanganyika kwa porojo zao, laiti mngejua tume iliyowekwa pale mngewaachia wenyewe wachague watu wao.