afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
Maisha Mafupi lakini ni matamu sana uko wapi bibie afrodenzi?
Kabisa mkuu..
ahhhh kuna watu wanapenda tu kuponda bila sababu za maana.
jamaa kakuvulia shati chupa yake mkono anasherehekea mwaka mpya.
hampigi mtu, hajavunja sheria yeyote .. kwa kweli sioni sababu ya kumponda..
Kula maisha kufa kwaja...
Nway mi nipo maeneo maeneo tu ndugu yangu..