Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #21
Mwali hujambo bibie ? kwani unakunywa Pombe wewe?
huyu hanywi .namtania tu hapa
Mwali hujambo bibie ? kwani unakunywa Pombe wewe?
mwali yaani kuniambia tu kuwa "ndio nimelipenda au sijalipenda" utapungukiwa na nini?Sijajibu sababu sijaelewa swali.
Kama swali ni lakupenda puto in general sijibu, hayo ni mambo yangu private.
Kama ni kupenda vile katumia kama baloon jibu ni NO. it is not funny at all.
Kwa nini unalazimisha nikupe jibu unalo taka wewe? si nimesha jibu?mwali yaani kuniambia tu kuwa "ndio nimelipenda au sijalipenda" utapungukiwa na nini?
Kwa nini unalazimisha nikupe jibu unalo taka wewe? si nimesha jibu?
hujajinibu umesema eti ni mambo yako ya private..kwa nini balloon liwe mambo yako private? sijakuambia unieleze 'feeling' 'utamu' na mambo kama hayo,.Mwali nimekuomba uniambe tu kuwa umelipenda puto ama la.so simple mwali
Sijajibu sababu sijaelewa swali.
Kama swali ni lakupenda puto in general sijibu, hayo ni mambo yangu private.
Kama ni kupenda vile katumia kama baloon jibu ni NO. it is not funny at all.
nimekwambia mapema, mi ningeboreka sana hapo. starehe zinapishana.nimesiikitika kama hujalipenda
nimekwambia mapema, mi ningeboreka sana hapo. starehe zinapishana.
Mbona unangang'ania puto?starehe yako ni nini? or secret,siku mojamoja unalipendaga puto?
Hivi aliyeanzisha hii thead anajua nini maana ya kula maisha? Maana hapo sijaona anaekula maisha zaidi zaidi naona wanaojifanya vikatuni
Naona UDOM waluga luga kibao
Kama Malta Apple ni hivi, kangara si unaweza kulala Toilet??
Mh!!!! starehe nyingine hazitakiwi kupigwa hata picha. Yaani naona aibu utafikiri ni mimi
Mh!!!! starehe nyingine hazitakiwi kupigwa hata picha. Yaani naona aibu utafikiri ni mimi