Melkiard Junior
Senior Member
- Aug 12, 2018
- 150
- 77
Ukiona unakuwa na dharau kwa kiasi hiki ujitambue tu kuwa uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sanachuo kinachukua Vilaza tupu.what do you expect?
Ukiona unakuwa na dharau kwa kiasi hiki ujitambue tu kuwa uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sanachuo kinachukua Vilaza tupu.what do you expect?
Mfumo MbovuMmh! Mzumbe ndio balaa
People zina disck kinyama
Mambo ya CoNAS-UDSM mtu ana 2.3 akaliwa kichwa...kuna Vyuo mtu ana GPA ya 2.2 na ana disco
Kwa uandishi huu hata ukitaga ni halali kwa kweli!Sijajua BBA imesambaa sana coz wamepanic wanaleft magrp ya class
Basi watakuwa wanaferisha kwa makusudi bhana, sunajua malectures wengine Tena wanajiona vigogo and everything.GPA NI NDOGO.ETI DEPARTMENT ZA PSPA,GEOLOGY,SOCIOLOGY NA GEOGRAPHY HAMNA GPA ZA 4.0 TU.DOOH
Kweli UDOM kiukweli wako Good Sana wewe waacheni hao watu wanaokibeza hiki chuo nawaambia watapata tabu Sana.Waambieni wadogo zetu kuwa UDOM ya sasa INA msuli wa hatari na unasoma sana paper wanakaza mfno mwaka huu COED kuna wa2 800 wame disco sasa wewe unaesema ni Chuo cha vilaza mlete Mdogo wako aone Chuo cha vilaza kinavyo kuwa na KA one kake hako
Umesoma chuo gani mkuu??Wewe ukiona chuo kinadahili maelfu ujue ni chuo cha kata hicho!!!!
FactUmesoma chuo gani mkuu??
Au hata nafasi ya chuo hujapata unawatolea mapovu watu waliokushinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Waambieni wadogo zetu kuwa UDOM ya sasa INA msuli wa hatari na unasoma sana paper wanakaza mfno mwaka huu COED kuna wa2 800 wame disco sasa wewe unaesema ni Chuo cha vilaza mlete Mdogo wako aone Chuo cha vilaza kinavyo kuwa na KA one kake hako
jifunze kuandika wewe msomi wa udomWaambieni wadogo zetu kuwa UDOM ya sasa INA msuli wa hatari na unasoma sana paper wanakaza mfno mwaka huu COED kuna wa2 800 wame disco sasa wewe unaesema ni Chuo cha vilaza mlete Mdogo wako aone Chuo cha vilaza kinavyo kuwa na KA one kake hako
Vyuo vingi ni 50 average..Sipati picha kule SUA mambo yapoje maana huko ndo hatari 50 average
Sent using Jamii Forums mobile app
DahUsijekutana na hii kituuView attachment 831922