Wakutosha BBA first year 56VIPI KUNA WALIODISCO SANA HUKO UDOM?
Sijajua BBA imesambaa sana coz wamepanic wanaleft magrp ya classduuuuh mbona hiyo ni hatari BBA 56 !!! vp programs nyingine
Hao sifahamAISEE VIPI LAW NA PSPA NA SOCIOLOGY?
Inawezekana wakawa sio wengi ukilinganisha na idadi ya wanachuo woteEDUCATION mwaka juz mwaka wa kwanza walidisco 600
Coleage zote palilamba(disco) 3000
Pale sio pamchezo mchezo,
Lecture akifaulisha sana anaitwa kuhojiwa.Ukifelisha unaitwa pia
Sifa za good lecture ujue kukamata
Ooooh udom msuli wake skuhizi sio wa kitoto ukizingua unasepa peupe 0.1 mtu unadisco unajiona mtu ana GPA 1.7 out yan 0.1 kakosa afanye sup na hakuna anaemfikiria coz work unasain had NNE yaan 4 na kwenye SR unaikuta hio hio madogo msiskilize watu udom inakuja kwa kasi sana shule ya pale ni ngumu mno km mvivu wa kusoma hata sisi nakumbuka. Tuliambiwaga kuna bata ni chuo cha Kata ni rahisi kufahulu udom tumefika mwaka Jana adi asaiv sina ham kusoma kote kule na bado nimeponea tundu la sindanoInawezekana wakawa sio wengi ukilinganisha na idadi ya wanachuo wote
LecturerEDUCATION mwaka juz mwaka wa kwanza walidisco 600
Coleage zote palilamba(disco) 3000
Pale sio pamchezo mchezo,
Lecture akifaulisha sana anaitwa kuhojiwa.Ukifelisha unaitwa pia
Sifa za good lecture ujue kukamata
Unamaana gani?UDOM ikiwa hatari na Chuo kikuu kitakuwaje ?
Au wanatufelisha kimakusudi?KWELI UDOM HATARI.HATA JAMAA YANGU ANAFUNDISHA PALE SOCIOLOGY ANASEMA DISCO ZIPO 63 FIRST YEAR
DuuuhhhhUsijekutana na hii kituuView attachment 831922
AiseeeeKWELI UDOM HATARI.HATA JAMAA YANGU ANAFUNDISHA PALE SOCIOLOGY ANASEMA DISCO ZIPO 63 FIRST YEAR
Mkuu kwani UDOM ni shule ya msingi?UDOM ikiwa hatari na Chuo kikuu kitakuwaje ?
1.7 ni cgpa au ni gpa ya semister moja?Ooooh udom msuli wake skuhizi sio wa kitoto ukizingua unasepa peupe 0.1 mtu unadisco unajiona mtu ana GPA 1.7 out yan 0.1 kakosa afanye sup na hakuna anaemfikiria coz work unasain had NNE yaan 4 na kwenye SR unaikuta hio hio madogo msiskilize watu udom inakuja kwa kasi sana shule ya pale ni ngumu mno km mvivu wa kusoma hata sisi nakumbuka. Tuliambiwaga kuna bata ni chuo cha Kata ni rahisi kufahulu udom tumefika mwaka Jana adi asaiv sina ham kusoma kote kule na bado nimeponea tundu la sindano