hazijatoka ila zikitoka watawawekea mtandaonishukran mkuu VP join instruction form tutapataje
Pamoja sanaShukrani sana!
Na diploma je wanaripoti lini kwanshukran mkuu VP join instruction form tutapataje
Hilo tangazo lipo in general ww first year unachosubiria ni admission letter ndo muhimu na watatoa soon kwa sasa wanafanya kazi ya kuandaa hizo form..check me 0625641036...nikuweke kwenye group la UDOMMbona sijaona kuhusu sisi first year?
Ni pm ndg tushare naumivu naona shda tupo sawaIv udom huwachukua mda gan kuachia majina ya second batch
Maana vyuo vingne ving vimetoa alaf mpaka leo n kimya tu
Subirini watatoa Wala msikonde karibuni sanaVP second pia wsmetoa?
UDOM hawatoi eti kwasababu vyuo fulani vinetoa. Wewe vuta subira tu wakishatoa utaona.Iv udom huwachukua mda gan kuachia majina ya second batch
Maana vyuo vingne ving vimetoa alaf mpaka leo n kimya tu