UDOM na Bachelor of Science in Biology

UDOM na Bachelor of Science in Biology

eti wataalam kwani mtu aliyemaliza bsc in biology si anaweza kwenda kusomea kozi yoyote katika ngazi ya juu inayohusiana na biology? mfano
food science
wildlife
forestry
biotech
animal science
microbiology
na nyngn nyng ambazo weng wanazigombania kwny ngaz ya degree na hawazipati kwa hyo me naona bsc in bio ni kama daraja la kufikia malengo........
 
Hizo kozi zipo natural science na zote ni priority kwenye mkopo sasa wewe unadhani serikali imeamua kugharamia kitu ambacho haikihitaji?
Hata wanaosomea mziki wanapewa mkopo so tulia mkuu, serikal kutoa mkopo sio kigezo cha kozi kufaa
 
Shukran kwa wote mliochangia uzi huu na mnaoendelea kuchangia! japo kuna wale wanaokatisha tamaa wenzao ila naamin kwa namna moja au nyngne weng wetu tumeupata ukwel juu ya kozi hii cha msingi ni msul wa nguvu utakaokupa GPA za juu kuongeza uhakika wa ajira! shukrani kwa wote mlio share mawazo na mtazamo wenu kwetu mkajarbu kutupa moyo, Mungu awabalik! na kalbuni kwa mawazo zaidi!
Sio gpa tuu, uwe unajua vitu mkuu sio shalow shalow
 
Sio mbaya huenda akaja pata chance au kuajiriwa muda utakapowadia ila sio vbaya ana bachelor mana muda wowote huenda akaiendea fani yake hyo,
Kwann asiiendee sasa hivi..tatzo watu wanachagua programs bila malengo,una apply vp program nakuchagiliwa bila kujua utafanya kaz wapi?
 
eti wataalam kwani mtu aliyemaliza bsc in biology si anaweza kwenda kusomea kozi yoyote katika ngazi ya juu inayohusiana na biology? mfano
food science
wildlife
forestry
biotech
animal science
microbiology
na nyngn nyng ambazo weng wanazigombania kwny ngaz ya degree na hawazipati kwa hyo me naona bsc in bio ni kama daraja la kufikia malengo........
Kwann mtu asichague direct kusoma coz izo na atumie bsc. in biology kama daraja?
 
Hizi discipline nyingine sijui waanzilishi wana elimu gani.

Course za chuo hazipaswi kuwa too generalized.

Lakini ndio Tanzania hiyo. [emoji1368]
Hizo kozi zipo hata nchi zilizoendelea
Ndo wanaofanya utafiti na kuvumbua vitu vipya
 
Nimeamua kuuanzisha uzi huu maalum kwa wanaoijua kozi hii na wale waliochaguliwa hapo! kumekuwa na mkanganyiko mkubwa juu ya carrier wa bachelor of science in biology juu ya upatikanaji wa ajira za hii kozi na hili limeibua hofu kwa wale waliochaguliwa hapo! so kwa wenye uelewa zaidi juu ya hii kozi njooni uzini mtupe maoni yenu! kalibuni
Biology ni pana kuliko unavyodhani. Unasoma ili uajiriwe na BSc [Biology], unaweza hata kujiajiri inawezekana tu na utakuwa huitumii Biology yote uliyoisoma bali sehemu tu. Nime-specialize ktk Botany, maisha yanaenda. Naamini kuna mengi usiyoyajua kuhusu Biology. Na ziko kozi unazodhani ukizisoma, utaajiriwa. Lakini kuna watu wengi waliosomea kozi hizo hizo wako mitaani hawana ajira. Muhimu, kozi yoyote ukiisoma, uielewe. Wanafunzi wengi siku hizi wanafikiri kufaulu tu na si kuelewa anachosomea.
 
Biology ni pana kuliko unavyodhani. Unasoma ili uajiriwe na BSc [Biology], unaweza hata kujiajiri inawezekana tu na utakuwa huitumii Biology yote uliyoisoma bali sehemu tu. Nime-specialize ktk Botany, maisha yanaenda. Naamini kuna mengi usiyoyajua kuhusu Biology. Na ziko kozi unazodhani ukizisoma, utaajiriwa. Lakini kuna watu wengi waliosomea kozi hizo hizo wako mitaani hawana ajira. Muhimu, kozi yoyote ukiisoma, uielewe. Wanafunzi wengi siku hizi wanafikiri kufaulu tu na si kuelewa anachosomea.
Unaweza kufaulu bila kuelewa mkuu???
 
Biology ni pana kuliko unavyodhani. Unasoma ili uajiriwe na BSc [Biology], unaweza hata kujiajiri inawezekana tu na utakuwa huitumii Biology yote uliyoisoma bali sehemu tu. Nime-specialize ktk Botany, maisha yanaenda. Naamini kuna mengi usiyoyajua kuhusu Biology. Na ziko kozi unazodhani ukizisoma, utaajiriwa. Lakini kuna watu wengi waliosomea kozi hizo hizo wako mitaani hawana ajira. Muhimu, kozi yoyote ukiisoma, uielewe. Wanafunzi wengi siku hizi wanafikiri kufaulu tu na si kuelewa anachosomea.
Mkuu kidogo umenipunguzia maumivu, kijana wangu ndio anaenda kuianza hiyo kozi pale Udom.
Kama una ushauri zaidi ya hapo naomba uongezee kwa faida ya sisi wengine tusio na uelewa na hiyo kozi.
Ahsante sana [emoji120]
 
Unaweza kufaulu bila kuelewa mkuu???
Wengi wako hivyo. Bahati mbaya mfumo wetu wa elimu si mzuri na walimu wetu wengi hasa wa zama hizi ni wavivu kufanya kazi zao na hawajali na matokeo yako. Wanatoa matokeo yasiyotengeneza ugomvi kati yake mwalimu na mwanafunzi. Hivyo mara nyingi anamfanya mwanafunzi aonekane amefaulu wakati amefeli. Kumbuka, wakati mwingine wanafunzi wakifeli sana mwalimu ataambiwa ajieleze kwanini wanafunzi wamefeli. Sasa mwalimu gani atakayesema ukweli kuhusu mwanafunzi kufeli ili ajieleze?
 
Nimeamua kuuanzisha uzi huu maalum kwa wanaoijua kozi hii na wale waliochaguliwa hapo! kumekuwa na mkanganyiko mkubwa juu ya carrier wa bachelor of science in biology juu ya upatikanaji wa ajira za hii kozi na hili limeibua hofu kwa wale waliochaguliwa hapo! so kwa wenye uelewa zaidi juu ya hii kozi njooni uzini mtupe maoni yenu! kalibuni
Somea unachokipenda ajira zipo
 
Back
Top Bottom