mnaweza mkawa mpo sahihi lakini hizo sehemu zote mlizozitaja hao watu wa kemia ni kama ziada sio kwamba ndio sehemu husika kwao (wanaunga unga) kuna kozi ambazo ni special kwajili ya hayo maeneo, kama mkemia atafanya kazi TBS, TFDA, je hawa wanaosoma hizi kozi watafanya wapi kazi zao
Bsc food science and technology
Bsc human nutrition
Bsc bioproccesing and post harvesting engineering
Bsc biotechnology and lab science
dip in laboratory technology
Bsc chemical and proccesing engineer pia kuna watu wanaosoma Bsc in general
ishu ni kwamba katika kozi hizo phy, chem, bios,na maths zote ni majanga ila wa kemia anaunafuu kuliko hao wengine, ila haina maana kwamba ajira zake ndio zipo wazi