UDOM na Bachelor of Science in Biology

UDOM na Bachelor of Science in Biology

Ah,ase kwa course nying ajira zinasumvua si hii peke ake but ukipata nafas ya kuajiriwa au kujiajir ni ina faida inatgemeana na muda tu wa kupata mafanikio ya kitu ulichokisomea,but si kwa kusoma kitu usichopenda ili uajiriwe.
Kuna mwingine alisoma BSc in Physics sasa hivi ni mwalimu kwa cheti cha Diploma aliyoipata hapo awali
 
Bachelor of science in biology
Bachelor of science in physics
Bachelor of science in maths
Bachelor of science in chem
Hizi kozi ni majanga mkuu, hata field zenyewe hazina uhakika, wana pachikwa pachikwa tu sehemu yyte in short hizo kozi kwa tanzania yetu ni nonsense
Tusidanganyane....ukisoma Bsc kati ya hizo....una uhakika na ajira. So......what matters ....is just a good performance. Uwe na GPA nzuri 3.5 and obove
and not otherwise
 
Tusidanganyane....ukisoma Bsc kati ya hizo....una uhakika na ajira. So......what matters ....is just a good performance. Uwe na GPA nzuri 3.5 and obove
and not otherwise
Wewe wasema, huyo wa Biology ana first class. Uhakika wa ajira upo kwa mwenye mtu wa kumshika mkono. Ni jamaa zangu hao wamemaliza Udom hapo 2013
 
Wewe wasema, huyo wa Biology ana first class. Uhakika wa ajira upo kwa mwenye mtu wa kumshika mkono. Ni jamaa zangu hao wamemaliza Udom hapo 2013
Mwabie ....achakalike ...otherwise hajiamin na degree yake ....meaning kwamba yupo shallow
 
Shukran kwa wote mliochangia uzi huu na mnaoendelea kuchangia! japo kuna wale wanaokatisha tamaa wenzao ila naamin kwa namna moja au nyngne weng wetu tumeupata ukwel juu ya kozi hii cha msingi ni msul wa nguvu utakaokupa GPA za juu kuongeza uhakika wa ajira! shukrani kwa wote mlio share mawazo na mtazamo wenu kwetu mkajarbu kutupa moyo, Mungu awabalik! na kalbuni kwa mawazo zaidi!
 
Bachelor of science in biology
Bachelor of science in physics
Bachelor of science in maths
Bachelor of science in chem
Hizi kozi ni majanga mkuu, hata field zenyewe hazina uhakika, wana pachikwa pachikwa tu sehemu yyte in short hizo kozi kwa tanzania yetu ni nonsense
Upo sahihi mkuu, mimi nilipiga Bsc. Physics kufika mwaka wa pili bado nakutanana na practical kubwa kuliko zote ni Cathode Ray Oscilloscope ambayo nimeifanya mwaka wa kwanza semister zote. Supervisor wa lab naye ana bachelor tu ya lab technology science ya DIT. Kazi yake ni kuwapangia vifaa na kuwaambia leo mtafanya practical namba fulani. Nilijiuliza hivi hapo ndo naandaliwa kuwa mfizikia nije kufanya kitu gani katika physics? Kama kuchunguza transistor characteristics kwa kutumi CRO tu ni shida, nilikuwa disappointed sana.
 
Hizi discipline nyingine sijui waanzilishi wana elimu gani.

Course za chuo hazipaswi kuwa too generalized.

Lakini ndio Tanzania hiyo. [emoji1368]
 
Naombeni msaada wenu, mwenye majina ya Udom batch2 yenye Bsc.nursing aniwekee nifaham.
 
Upo sahihi mkuu, mimi nilipiga Bsc. Physics kufika mwaka wa pili bado nakutanana na practical kubwa kuliko zote ni Cathode Ray Oscilloscope ambayo nimeifanya mwaka wa kwanza semister zote. Supervisor wa lab naye ana bachelor tu ya lab technology science ya DIT. Kazi yake ni kuwapangia vifaa na kuwaambia leo mtafanya practical namba fulani. Nilijiuliza hivi hapo ndo naandaliwa kuwa mfizikia nije kufanya kitu gani katika physics? Kama kuchunguza transistor characteristics kwa kutumi CRO tu ni shida, nilikuwa disappointed sana.
So mwshwe unafanya kazi gan mkuu
 
TBS sehemu nyingine hz hapa mkuu TFDA,TPDC,SGS ofisi ya mkemia mkuu Productions industry hasa vile vya soda na bia mahali popote palipo na maabara za chemistry unapga mzigo mkuu ckuhz mpk Police inawaitaji Hao!!!
Huko wamejaaa laboratory technology na CPE,usiishi kwa hisia hiyo kozi ni ngumu kupata kazi huo ndio uhalisia
 
Samahani mkuu hivi Laboratory science and technology kwa Tanzania inatolewa kwa diploma tu au na bachelor pia maana sijaona chuo chochote kinachotoa bachelor isipokua nimeona mbeya university upande wa dip
DIT wanatoa bachelor
 
Upo sahihi mkuu, mimi nilipiga Bsc. Physics kufika mwaka wa pili bado nakutanana na practical kubwa kuliko zote ni Cathode Ray Oscilloscope ambayo nimeifanya mwaka wa kwanza semister zote. Supervisor wa lab naye ana bachelor tu ya lab technology science ya DIT. Kazi yake ni kuwapangia vifaa na kuwaambia leo mtafanya practical namba fulani. Nilijiuliza hivi hapo ndo naandaliwa kuwa mfizikia nije kufanya kitu gani katika physics? Kama kuchunguza transistor characteristics kwa kutumi CRO tu ni shida, nilikuwa disappointed sana.
DIT bado hawaajaanza kutoa wahitimu wa digrii ya laboratory technology,huyo ni diploma
 
Hizi courses za kusomea bachelor ya somo in general ni za kipuuzi sana..utasifika tu kipindi unasona tu! Maliza sasa uyaone maghorofa!!! ajira hamna kabisa labda ujiajiri..ni shida
 
Back
Top Bottom