Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,789
- 4,820
Mimi nahisi tuliangalie hilo kwa mtazamo tofauti,ingawa mleta Uzi ameandika Uzi wake pengine kwa namna isiyo na staha.
UDOM Ina matatizo kadhaa kimfumo,kwa mfano inatoa kozi(course) kadhaa ambapo wanafunzi wake hawapati mafunzo kwa vitendo(field attachments) kwa kipindi chote cha miaka mitatu,vilevile kozi nyingi zinahitimishwa bila uandikaji wa tafiti(research,dissertation)ambazo zingekuwa na msaada mkubwa katika kutafsiri elimu ya darasani katika maisha halisi.Ninatoa mifano michache ya kozi zisizo na mafunzo kwa vitendo ,kozi nyingi katika shule ya sayansi ya jamii(college of social sciences and humanities-school of social science) kozi hizi ni kama ifuatavyo:-B.A in Public Administration,B.A in Political science and Public administration,B.A Socialogy,etc
Vile vile wengi wa wahadhiri (lecturers) wana shahada moja ambao naamin wanapaswa kuwa Tutorial Assisatnts,lakini kweli UDOM hawa wanafundisha kozi,sasa kwa mazingira haya si hisi kama kuna ufanisi,ni kozi chache sana zenye wahadhiri wenye shahada ya udikatari wa falsafa (directorate of philosophy) ua wenye hadhi ya uprofesa.Pengine hili ni tatizo la vyuo vyetu vingi lakini UDOM haikupaswa kuchukua idadi kubwa ya wanafunzi ambayo imekua ikichukua.
Tunapoficha uchi hatutaweza kuzaa,tusiyafiche matatizo yaliyopo UDOM,UDOM inatatizo kubwa la kimfumo na kitaasisi hadi hapo yatakaposhughulikiwa ,kwa sasa tutakuwa tunatoa wataalamu wasiokidhi baadhi ya matarajio yetu kama taifa au mtu mmoja mmoja.
UDOM Ina matatizo kadhaa kimfumo,kwa mfano inatoa kozi(course) kadhaa ambapo wanafunzi wake hawapati mafunzo kwa vitendo(field attachments) kwa kipindi chote cha miaka mitatu,vilevile kozi nyingi zinahitimishwa bila uandikaji wa tafiti(research,dissertation)ambazo zingekuwa na msaada mkubwa katika kutafsiri elimu ya darasani katika maisha halisi.Ninatoa mifano michache ya kozi zisizo na mafunzo kwa vitendo ,kozi nyingi katika shule ya sayansi ya jamii(college of social sciences and humanities-school of social science) kozi hizi ni kama ifuatavyo:-B.A in Public Administration,B.A in Political science and Public administration,B.A Socialogy,etc
Vile vile wengi wa wahadhiri (lecturers) wana shahada moja ambao naamin wanapaswa kuwa Tutorial Assisatnts,lakini kweli UDOM hawa wanafundisha kozi,sasa kwa mazingira haya si hisi kama kuna ufanisi,ni kozi chache sana zenye wahadhiri wenye shahada ya udikatari wa falsafa (directorate of philosophy) ua wenye hadhi ya uprofesa.Pengine hili ni tatizo la vyuo vyetu vingi lakini UDOM haikupaswa kuchukua idadi kubwa ya wanafunzi ambayo imekua ikichukua.
Tunapoficha uchi hatutaweza kuzaa,tusiyafiche matatizo yaliyopo UDOM,UDOM inatatizo kubwa la kimfumo na kitaasisi hadi hapo yatakaposhughulikiwa ,kwa sasa tutakuwa tunatoa wataalamu wasiokidhi baadhi ya matarajio yetu kama taifa au mtu mmoja mmoja.
