UDOM haina soko Tanzania?

UDOM haina soko Tanzania?

Basi ukiwa ofsi moja na wanafunzi waliomalz Udom, masikini wanatia huruma. Kwanza huwa hawajiamini na badala yake hujifanya wanajuuuuuuuua, ukiwachallenge kdg tu kwishney. Huu ni ukweli mtupu kuwa is a university kata!
 
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje

Umelianzisha tena! Subiri wenye chuo chao wakuonyeshe kazi!

Btw: Kama Udom ndio hivyo what about chuo cha kina faizafox?
 
Umelianzisha tena! Subiri wenye chuo chao wakuonyeshe kazi!

Btw: Kama Udom ndio hivyo what about chuo cha kina faizafox?


Ma-Faizafox, udom si ndio uwanja wao wa jiramba...
Halafu wanasingizia si wanafunzi wa udom, ni wanakijiji waliopanga nje kidogo na udom...
 
Basi ukiwa ofsi moja na wanafunzi waliomalz Udom, masikini wanatia huruma. Kwanza huwa hawajiamini na badala yake hujifanya wanajuuuuuuuua, ukiwachallenge kdg tu kwishney. Huu ni ukweli mtupu kuwa is a university kata!

true nakubaliana nawe kabxa!
 
Basi ukiwa ofsi moja na wanafunzi waliomalz Udom, masikini wanatia huruma. Kwanza huwa hawajiamini na badala yake hujifanya wanajuuuuuuuua, ukiwachallenge kdg tu kwishney. Huu ni ukweli mtupu kuwa is a university kata!

hahahahaaa,,,subiri watakuja tu
 
Basi ukiwa ofsi moja na wanafunzi waliomalz Udom, masikini wanatia huruma. Kwanza huwa hawajiamini na badala yake hujifanya wanajuuuuuuuua, ukiwachallenge kdg tu kwishney. Huu ni ukweli mtupu kuwa is a university kata!
nadhani hauko ofisi moja na mwanafunzi kutoka CIVE-UDOM,kama uko naye kakudanya sio from UDOM.Nenda kaulize Nyerere airport,TCRA na CRDB nadhani wanawafahamu vizuri wanafunzi kutoka informatics UDOM zaidi yako.
 
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje

Kwani ndo unajua leo????.........chuo wanachoenda wanafunzi waso akili
 
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje

Hahahaha......acha umbwesenge ww! acha kudis chuo cha wenzio kihivyo...though nasoma ud but naona kawaida tu....mm nimepiga field na wanafunz wa udom...guys they know wat they are doing....wako competent kuliko au sawasawa na sisi wa ud...mnawakashfu bure af watanzania ndo zenu full mawivu tu....na kwa jinsi navyoona udom baada ya miaka ka 5 hv itakuwa the best in town...ud achani hzo! viroho vinawauma
 
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
ungekua una uelewa mzuri juu ya ajira za vijana wanao hitimu vyuo vikuu hapa Tanzania ungeziba mdomo wako,,think big co unakurupuka 2 ilimradi uenakane ume2pia uzi JF,,nna marafiki zangu wengi 2 wamemaliza sua na udsm wanaranda mtaani hadi wngne wanaamua kutafuta scolarshp kuendelea na masters,,,,,pia ujue udom inatoa wanafunzi wengi sana,,usikute idadi ya wanafunzi unao/uliowaona ni ndogo kuliko ya wale ambao wamekwisha ajiriwa,,,xo usijisemee hovho bila kufikiri unachotaka kupost apa
 
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje

we. mbwa ushamalza kubeba Zege?
 
Hahahaha......acha umbwesenge ww! acha kudis chuo cha wenzio kihivyo...though nasoma ud but naona kawaida tu....mm nimepiga field na wanafunz wa udom...guys they know wat they are doing....wako competent kuliko au sawasawa na sisi wa ud...mnawakashfu bure af watanzania ndo zenu full mawivu tu....na kwa jinsi navyoona udom baada ya miaka ka 5 hv itakuwa the best in town...ud achani hzo! viroho vinawauma

waambie hao mak.um.a!
fainal mtaani!
 
mtoa mada nahisi una tatizo, imeharibikia tumboni kabla ya miezi tisa, unatakiwa usafishwe alafu uwekewe nyingine na kila mwezi ukachekiwe ukiwa na kadi yako mkononi ili isiharibike tena kabla ya miezi tisa!
 
Hahahaha......acha umbwesenge ww! acha kudis chuo cha wenzio kihivyo...though nasoma ud but naona kawaida tu....mm nimepiga field na wanafunz wa udom...guys they know wat they are doing....wako competent kuliko au sawasawa na sisi wa ud...mnawakashfu bure af watanzania ndo zenu full mawivu tu....na kwa jinsi navyoona udom baada ya miaka ka 5 hv itakuwa the best in town...ud achani hzo! viroho vinawauma



Hapa nimegundua ww so wa UD ila unajipendekeza, hata ivo mi naona hakuna haja ya mtu kupost jambo la kashfa kama hili licha ya kwamba linaweza kuwa na ukweli ndan yake au la
 
Chezeya Elimu Mulugo weye!!!! Vyuo vikuu vinaota kama uyoga nchini baadhi vimekuwa havina wahadhiri wenye hadhi inayostahili ya kufundisha vyuo vikuu matokeo yake ni kutoa Wanafunzi vilaza kama Mulugo.

mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
 
Tatizo interview nyingi zinatangazwa huku Waajiriwa washapatikana tayari!
 
UDOM receive finance assistance for two project from TCRA

TANZANIA Communications Regulatory Authority (TCRA) will finance three projects to be carried out by two universities after signing a Memorandum of Understanding (MoU).The two higher learning institutions are the University of Dar es Salaam (UDSM), which will research on the use of Information and Technology to improve management of road safety and the University of Dodoma (UDOM) which will research on cyber realm and applying mobile technology for drugs verification.Speaking during the award of the research fund ceremony in Dar es Salaam yesterday, the TCRA Director General Prof John Nkoma, said the two universities were selected out of the 22 higher learning institutions which had submitted proposals."UDOM will receive 200m/- per year for two projects while UDSM will receive 100m/- per year for one project," said Prof Nkoma. UDOM Vice-Chancellor, Prof Idris Kikula, thanked the TCRA for the support and he urged other local organs to emulate the authority.The Dean of College of the Informatics and Virtual Education at UDOM, Dr Leonard Msele, said the project would help to give a clear picture of the cyber crime. On his part, UDSM senior lecturer, Prof Nerey Mvungi, said 75 per cent of the road accidents were caused by reckless driving while the rest per cent is caused by human error, saying there was a need to introduce policy and stern measures to control road accidents.
 
Back
Top Bottom