mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
Kwani udomu nacho chuo si bora hata amazoni koleji
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
hahahahaaa,,,,ngoj niangalie ligi ya vyuo bro Baba V where u r????
Mdau New Manase ulisema mzumbe ni maharage ya Mbeya leo watu wamekuja na ya UDOM
Mzumbe nacho chuo kwani.......rushwa tu imejaa pale
Kwani udomu nacho chuo si bora hata amazoni koleji
hahahahahahahaha! Udom kuzur ninandugu zangu kbao wamepata ajira akiwemo dada yangu!hahahahaaa,,,,ngoj niangalie ligi ya vyuo bro Baba V where u r????
Mdau New Manase ulisema mzumbe ni maharage ya Mbeya leo watu wamekuja na ya UDOM
hahahahahahahaha! Udom kuzur ninandugu zangu kbao wamepata ajira akiwemo dada yangu!
heheheheee,,,,,kwa levo gani undegraduate au post????
una miaka mingapi?nahisi tatizo ni utoto
Basi naomba radhi wanisamehe! Basi mfalme amevaa nguo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
oya micharazo acha matusi 2nataka hoja, kwanza dada yangu aliaply thru UTUMISHI then akapata post hata ivo i have my anko ni chief accountant pale ardhi please ucnichokoze!c baada ya kuvua kyupi upanuni.
Hahahaha
Kwani udomu nacho chuo si bora hata amazoni koleji
Mihanyenyi?
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
Kwani udomu nacho chuo si bora hata amazoni koleji