Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
Hivi huna kazi ya kufanya zaidi ya kuchunguza interview za wanafunzi waliotoka UDOM? Vipi umemwagwa?
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
University ya kata!
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
Waombe radhi CHUAKACHARA
una miaka mingapi?nahisi tatizo ni utoto
Sio lazima ukitoka chuoni uajiriwe kwa maisha ya sasa, ukitegemea hilo na ukakutana na ukweli huu mtaani utapaona nuksi.
wee soma na ujiandae na kupambana tu, yaani ishu ni kuangalia utarekebisha vp maisha yako yasimame tu, achana na kuangalia elimu uliyonayo au umeipatia wapi, mbona wapo watu walisoma Russia na wakarudi bongo wakageuka walinzi tu!
Maisha ni kukaza usije ukaanza kujuuuta na kulialia kwamba umesoma na huna kazi, Amka!
Let people air their view, let people talk!