Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Katika hatua ya kushangaza CAG alisema katika ukaguzi wake amebaini kuwa majengo ya Chuo
Kikuu cha Dodoma(UDOM) hayajulikani yanamilikiwa na nani kati ya Serikali na mifuko
ya hifadhi ya jamii iliyotoa fedha za ujenzi.
Utoah alifafanua kuwa mifuko ya hifadhi za jamii
inafahamu kwamba fedha zilizotumika kujenga
majengo ya chuo hicho zilikuwa mkopo kwa
Serikali wakati Serikali kwa upande wake
inatambua kuwa fedha hizo zilikuwa ni uwekezaji
wa mifuko hiyo.
SOURCE: Gazeti la Mwananchi ,13/4/2012
Kikuu cha Dodoma(UDOM) hayajulikani yanamilikiwa na nani kati ya Serikali na mifuko
ya hifadhi ya jamii iliyotoa fedha za ujenzi.
Utoah alifafanua kuwa mifuko ya hifadhi za jamii
inafahamu kwamba fedha zilizotumika kujenga
majengo ya chuo hicho zilikuwa mkopo kwa
Serikali wakati Serikali kwa upande wake
inatambua kuwa fedha hizo zilikuwa ni uwekezaji
wa mifuko hiyo.
SOURCE: Gazeti la Mwananchi ,13/4/2012