Udom: First years; joining instruction soma hapa!

MAKOLE

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
618
280
Hili tangazo lipo kwenye website ya chuo, ingia sehemu ilioandikwa ALIS utaipata Not ARIS!

Admission Letters for First year students for Academic Year 2012/2013 will be available from 12th September, 2012
For more information, Please contact:
+255 714 780 220; +255 714 982 684
Masomo mema.
 
SERIKALI ilihalalisha ada iliyoliwa na chuo, ada kutoka HESLB-mikopo kwa wanafunzi kisa hawajasaini vitabu,

1. ilichuguza ukweli huo?
2. kawambwa/Serikali awe makini na S.mlacha vs I.Kikula
3. udhalimu huo ni ishara mbaya sana.
4. board na chuo si waaminifu.

serikali haipaswi kutoa matamko...mwachuo kuamuliwa kulipa ada ambayo hana ili apate cheti sio sahihi
 
Hili tangazo lipo kwenye website ya chuo, ingia sehemu ilioandikwa ALIS utaipata Not ARIS!

Admission Letters for First year students for Academic Year 2012/2013 will be available from 12th September, 2012
For more information, Please contact:
+255 714 780 220; +255 714 982 684
Masomo mema.
asant mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom