UDOM College ya Education kuna uhaba wa Maji

College of Health sciences block one &two full tyme maji yapo karibuni
 
Mpaka ninavyoandika huu uzi, hapa UDOM education hakuna aliyeoga wala kujisaidia, kama kuna mtu basi hajaflashi, na hii ni kawaida sana hapa UDOM mtu kutoflash, si wanawake si wanaume wote tushazoea mambo haya maana hata ukimuuliza akikwambia umpe maji utamjibuje? UDOM maji hakuna halafu hakuna vyoo vya nje, ni shida.

Baadhi ya wanafunzi wamekuwa wabunifu kwa kuandaa utaratibu wa Kujisaidia kwa pamoja (yaani COLLECTIVE PEEING), yaani mnajiorganize chumba kizima mnaenda kujisaidia asubuhi, wa mwisho ndiye atakayeflash, hivyo kujikuta mmetumia ndoo moja ya maji watu wanne.

Hakuna anayeona kama hili ni tatizo linalotakiwa kutatuliwa kuanzia utawala hadi uongozi wa wanafunzi hakuna anayejali

NB: Kama kuna mtu anabisha aje sasa hivi hapa

UPDATE:
Kuna msela kakata gogo bafuni nusu saa iliyopita. Wakuu hali tete!!
Wengi hapa ndo mnapokosea na nilisema usipozizoea hizi.changamoto utakata hata tamaa ya kusoma mwisho wa cku.unafeli!ni vyema kukabiliana na.mazingira unapofika sehem flan ikiwemo kulifikisha kwa viongoz wako c busara kutangaza huku ili iweje cjaona mantiki ya mtoa mada kuliongelea hili huku!! hayo ni.matatizo ya kawaida hata ukienda vyuo vyengine! !wanafunzi wa udom tunadharauliwa kwasabab hatujiamin na.kujiona sie tu ndo wenye matatizo.kuliko vyuo.vyote hapa tz!!cdhan kama tatizo la maji lipo udom tu peke ake!!fika vyuo vyengine hapa tz tembelea vyoo halaf urud hapa useme na uniulize kwanin wao wananyamaza kimya tena udom ina afadhali sana
 
Upo chuo? Next tme wasilisha mada yako kisomi kk humu wanasoma watu wengi ila kwa uwasilishaji huo utachemka kusikilizwa
 
Upo jangwani unataka kuoga na kunya kama upo Mto Kongo nyie 1 year bwana ila mtazoea, nakupa trick nilizotumia ku survive kwa hiyo jangwa ukiona msimu wa maji shida acha kwenda kula ugali mkubwa na wali kibao kwa wajasiliamali wa ng'ong'ona tupia chips na mikate hapo toilet utaenda hata mara moja kwa siku 2 au 3 sa nyie tatizo lenu unajua maji shida unaenda kujitupia bonge la dogo unataka nini kuna kipindi maji yalikuwa shida mpaka tunaenda kuoga guest house ohhh akili kumkichwa na bila kugoma goma hapo mtasikia tuu hiyo maji ila mkiamsha siku moja au wakisikia mnataka kuamsha mbina watatfuta solution faster sasa nyie pigeni kelele ohhh Magufuli yupo bize na matatizo mengine mazito kuliko yenu ya kishindwa kunya kwa raha. Tumieni akili zilizo waleta hapo kutafuta solution sio kulalamika wasomi wazima kama watoto wa O level.
 
Leo humu nimenufaika kitu kimoja!! Nimejua kina nani ni undergraduate hivyo tukikutana kwenye majukwaa mengine tuheshimiane....
 
Back
Top Bottom