mafia mbaya....
Sure bro!!CCM wenyewe ni Chama Cha Mafia, sasa katimiza kigezo muhimu kuliko vyote.
Na ndiyo maana kwa umafia huo wa wanaCCM wanauza rasilimali zetu, wanakumbatia mafisadi. Only Mafia can do that.
Huyo Jamaa ni hatari sana, tena Hapo Kirumba kuna Mkurya mmoja anaitwa KITANA mwana ccm kindakindaki ohooo Jamaa anajeshi lake ziwa victoria na haumuambii kitu.
Mwaka 2005 baada ya Mbowe kutinga Mwanza na Chopa kwenye Kampeni na kuamsha mji huo rasmi kutoka usingizini kesho yake asubuhi ukasambaa uvumi kwamba KITANA kakamatwa na wanajeshi baada ya mtoto wake kumuua mtoto wa Mjeda waliyekuwa wakisoma Boarding school Uganda.
Uvumi huu ulisuppress kabisa habari za Mbowe sababu watu wengi walifurahia Jamaa kudakwa wakijua Amani itarejea Mjini kumbe ulikuwa uzushi.
Nauhakika wanakirumba wanamake money vibaya sana kwenye hizi kampeni sababu hao jamaa wanatoa pesa hovyo hovyo utafikiri FINCA.