Tatizo ni kwamba CCM wenyewe ndiyo waanzilishi wa siasa za kupakana matope ya udini na undugu. Walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuichafua CUF eti kwakuwa viongozi wengi ni Waislamu wakakiita chama cha Kiislamu. Wakaja kwa CHADEMA wakadai ni chama cha kikabila na Kikristo. Hawakujua kuwa wanafanya siasa chafu, isiyo na msingi tena inayoweza kuwageukia. Sasa yanayotokea ndiyo haya, ni haki kulisema hili ili wajue ubaya wa siasa za uzushi na ubaguzi.
Picha ya YESU inaonyesha wazi yesu alikua Mzungu, Right? ndio maana mababu zako hawakutaka kujiunga na CCM/tanu kwa sababu kilikua na mkakati wa kuwang'oa wazungu, wakati huo wafuasi wa yesu {kama picha yake ya kizungu} waliwakumbatia wazungu wakifikiri ni watakatifu kama yesu
Kwa sababu waanzilishi walikua waislam na ndio bado ni majority nchini na ccm pia. kama upendi chama kajiunge chadema kinachoongozwa na wachungaji. full stop.
Soma article vizuri usichague tu sehemu ukaanza kulalamika na dhani sasa utafahamu kuwa yesu hapa sio issue, issue ni vipi mko wachache kwenye chama
'Dhambi ya kubaguana(ubaguzi wa rangi,dini,kabila n.k ni mbaya sana)'..........Mwl.Nyerere
Na hasa hii walioianzisha sisi m maslahi!
THE National Executive Committee of the Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) has proposed Ms Amina Nassoro Makilagi for the vacant post of General Secretary of the party's Women wing (UWT).
The statement signed by the Party's Publicity Secretary Mr John Chiligati said Ms Makilagi has been proposed to the wing's Executive Committee to replace Ms Husna Mwilima, who was recently appointed District Commissioner for Tandahimba District, Mtwara Region.
In another development, the Party also shortlisted Mr Harun Mkalimoto, Mr Juma Rajab Simba and Mr Salim Mwaking'ida for the post of Dar es Salaam Regional CCM Publicity Secretary.
It also approved Ms Mwajuma Athman Labia, Mr Alhaji Salim Simba and Colonel (rtd) Tajil Mwinchumu for the post of Shinyanga Urban District Party Chairman.
THE National Executive Committee of the Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) has proposed Ms Amina Nassoro Makilagi for the vacant post of General Secretary of the party's Women wing (UWT).
The statement signed by the Party's Publicity Secretary Mr John Chiligati said Ms Makilagi has been proposed to the wing's Executive Committee to replace Ms Husna Mwilima, who was recently appointed District Commissioner for Tandahimba District, Mtwara Region.
In another development, the Party also shortlisted Mr Harun Mkalimoto, Mr Juma Rajab Simba and Mr Salim Mwaking'ida for the post of Dar es Salaam Regional CCM Publicity Secretary.
It also approved Ms Mwajuma Athman Labia, Mr Alhaji Salim Simba and Colonel (rtd) Tajil Mwinchumu for the post of Shinyanga Urban District Party Chairman.
hakika wewe ni mgonjwa wa akili kama si juha basi ni maamuma kweli kweli, ilimu imekuozesha akili
Picha ya YESU inaonyesha wazi yesu alikua Mzungu, Right? ndio maana mababu zako hawakutaka kujiunga na CCM/tanu kwa sababu kilikua na mkakati wa kuwang'oa wazungu, wakati huo wafuasi wa yesu {kama picha yake ya kizungu} waliwakumbatia wazungu wakifikiri ni watakatifu kama yesu
Kwa sababu waanzilishi walikua waislam na ndio bado ni majority nchini na ccm pia. kama upendi chama kajiunge chadema kinachoongozwa na wachungaji. full stop.
Soma article vizuri usichague tu sehemu ukaanza kulalamika na dhani sasa utafahamu kuwa yesu hapa sio issue, issue ni vipi mko wachache kwenye chama
.........
Mliwatetea wakolono mkaikataa CCM kwakua ilipinga ukoloni, kinachowashangaza ninini waislam kuawa wengi CCM? Jibu hoja wacha matusi!! au unatamani hii historia ifutike?
Mimi sipo kwenye ugomvi wenu, wala sitatizwi na idadi ya Waislam au Wakristo katika CCM, CHADEMA wala CUF. Isipokuwa nataka ninyi CCM mjue wazi ubaya wa siasa zenu. CCM ndiyo walioichafua CUF kuwa ni chama cha Waislam, pia wakafanya hivyohivyo kwa CHADEMA. Sasa ndo linawageukia ninyi! Tena maneno yako yanadai CCM ni chama cha Waislam na ikiwa vinginevyo historia itafutika sasa unachukizwa na nini? si ukubaliane na siasa zenu za kibaguzi?
Hii ni obvious small minds ziko hivyo wao hawaoni beyond mabega yao, na ndio maana pamoja na yote kuondoka kwa Lowassa kumewafurahisha kwa kuwa mbele yake wasingeweza kufanya huo upumbavu wao.
Tatizo ni unafiki wa wa kina Chiligati hawawezi kukemea kwa kuwa wanajiona hawakustahili hizo position walizonazo, na kwa vile chama kimajaa wanafika hakuna atakae thubutu kuhoji hilo angalia UVCCM wamejaa wakina nani?
Tutake tusitake lazima tutamwaga damu kikwete anatupeleka huko expeditiously na sisi tunamuangalia tu hatutaki kumtoa.
Mimi naomba Mungu usiku na mchana Lowassa arudi maana ndio kupona kwetu jamani wameshashika kasi hawa watu hawarudi nyuma, hawana haya wala aibu, angalia walivyogeuza mashirika yetu, ndio maana yanazidi kufa, huwezi kuongoza nchi hii na dini moja JK utake usitake huwezi kuligeuza hilo.
ACHA KUTUHARIBIA NCHI YETU WEWE UMEPEWA NAFASI USIYOSTAHILI SHUKURU MUNGU PITA TUACHE SALAMA MUOGOPE MUNGU UNAYOYAFANYA YATAMWAGA DAMU ZETU WATOTO WETU WATAGEUKA MAYATIMA TUMZUIENI JAMANI CHONDE CHONDE
THE National Executive Committee of the Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) has proposed Ms Amina Nassoro Makilagi for the vacant post of General Secretary of the party's Women wing (UWT).
The statement signed by the Party's Publicity Secretary Mr John Chiligati said Ms Makilagi has been proposed to the wing's Executive Committee to replace Ms Husna Mwilima, who was recently appointed District Commissioner for Tandahimba District, Mtwara Region.
In another development, the Party also shortlisted Mr Harun Mkalimoto, Mr Juma Rajab Simba and Mr Salim Mwaking'ida for the post of Dar es Salaam Regional CCM Publicity Secretary.
It also approved Ms Mwajuma Athman Labia, Mr Alhaji Salim Simba and Colonel (rtd) Tajil Mwinchumu for the post of Shinyanga Urban District Party Chairman.
Picha ya YESU inaonyesha wazi yesu alikua Mzungu, Right? ndio maana mababu zako hawakutaka kujiunga na CCM/tanu kwa sababu kilikua na mkakati wa kuwang'oa wazungu, wakati huo wafuasi wa yesu {kama picha yake ya kizungu} waliwakumbatia wazungu wakifikiri ni watakatifu kama yesu
Kwa sababu waanzilishi walikua waislam na ndio bado ni majority nchini na ccm pia. kama upendi chama kajiunge chadema kinachoongozwa na wachungaji. full stop.
Soma article vizuri usichague tu sehemu ukaanza kulalamika na dhani sasa utafahamu kuwa yesu hapa sio issue, issue ni vipi mko wachache kwenye chama