LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Nt yet!Kumbe mbunge wa CHADEMA na CCM nahic ht CUF wote ni wakristo afu dis 3 party ndo hot afu ki2 cha SHEIKH pale kat msiwapigie wakristo so wat next
C chadema ndo inawakristo ht Ccm na cuf wapo au umesahau Mbowe na Zitto niwaislam
Msi2fanyie hvyo bwana 2naangalia sera au co wam
a Igunga na co din
M out 4gud
Au maralia sugu unanyongeza coz we ni gamba tahila
Waislam mbona wachache sana! Hawana effect kwanza kura zao ni za mapepo.
wewe si ulianzisha forum yako ya kiislamu? Huku umerudi kufanya nini tena? Anyway, tumeshakuzoea, kama hata hili unaliona ni jema, basi huna nia njema na nchi hii.mlianza tunamaliza. Kama cuf mlikkita cha kiislam. Na sisi tunasema chadema ni chenu
andika vizuri, tuondolee vifupisho vyako, vinapoteza maana, unakuwa hueleweki, mpaka unakera.
Umesema vyema...! Tena ingekuwa vizuri waendelee na kampeni zao tu kama kawaida bila kugusia hii issue!! Aisee....kweli elimu ni ufunguo wa maisha....usipokuwa nayo____!Ushauri wangu kwa uongozi wa CDM,msimpige magoti mtu/kundi lolote linaloendekeza udini. Heri mkose hizo kura. Kama CCM kupitia kwa huyo DC wao wanapanda mbegu ya udini,waache waichukue igunga kwa kura za udini,lakini siku sinyingi watajutia makosa yao.
ms usilinganishe cuf na cdm! Ajenda ya cuf ni ya kidini na maeneo mengi wanayotegemea ni ya waislam so tofauti sana cdm. Kingine waislamu wataiua ccm sababu wanaona ndo chama chao, mimi upande wangu nashauri waislamu wote wachague ccm na cuf na wakristo tuchague cdm tuone kama mtaweza tumesha wachoka.
Unachekesha we2
Ht km wakisema OK!CHADEMA ni ya wakristo zen CCM/CUF ni Waislam bac kila mmoja achague tokana na din zao
MA DOG mtakwishne nyie ht robo hamtosh Bongo hii
Bt wenye akil timamu a2fikirii coz sote ni ndugu a2mind udin,WAKRISTO a2jazoea zogo
..ni wapi kwny vitabu vitakatifu vya imani zetu panasema Mungu atahukumu taasisi au kundi la watu..?nisaidieni jamani, kwa nini waislamu wanahukumu taasisi ilhali kitendo kimefanywa na mtu au watu! ningewasifu km wangefanya juhudi za kuwapata waliomkamata DC na kumvua hijab ili wawasaidie kujua umuhimu wa vazi hilo na si kushutumu chama!hata balozi wa marekani alisema msichague cuf ni wadini. Sasa na chadema ndio hao hao
Kuja na hoja nzito ni pale unapokuwa against gvt?.Ati waislam hawaji na hoja nzito.Hii ni dhihaka kwa waislam na kuendeleza udini.Waislam wamedhalauliwa sana na sasa wamechoka wameamua kuchukua hatua kwa wote wanaowadharau wanaanza na CDM kukifuta ktk ramani ya siasa za tz.ati waislam hawajasoma huu nao ni udini mbona tunao maprofa kibao na madokta?. CDM wasipochukua hatua za kuomba radhi waislam au kwenda kwa viongoz wa kiislam wakayamaliza kistaarabu kijue kinajenga picha mbaya kwa watz kuwa hakina uwezo wa kuongoza na kuunganisha watu ktk jamii.
Mama Wille km umeskia hayo toka mskitini kiongoz km Sheikh anashabikia co powah!
Jaman!Mbona ht waislam wengine wanakemea,leo nacheck ITV NEWZ wanaongelea hyo cjui HIJABU aliyovuliwa ht maana amna wanaoongea wako very smart na HIJABU kwel imezba ol part except uso na huyo DC kwenye picha hakuwa kw hawa waliokuwa wanaongea na mpk ukatokea kutokuelewana na mareporter haijawaingia akilin Plz!Kuen waangalifu na mnachosema msianze ubaguz wa din badae wengine mjekujua na ze way mko gud kula2mika
M OUT!
ushawai kufatilia hata sensa moja kujua dini ipi ni wengi Tz??? fanya utafiti kabla ya kupost