Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
'' Na Mwenyezi Mungu anawajua vyema maadui zenu. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Mlinzi, na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Msaidizi'' Quran An Nisaa 45.Aisse!! Ndio maana Gadafi alipigwa na Nato moja ya vi2 vilivyomsababishia ni sera yake ya kutaka kusambaza uislam Duniani ndio maana nchi nyingi za afrika amejenga misikiti ikiwemo Tanzania, Uganda etc...So kama Tanzania nayo...............Bac ipo cku................