Udhamini wa Vodacom Ligi Kuu na masharti ya mkataba wa mdhamini

PRINCEd

JF-Expert Member
Dec 14, 2015
850
586
Usiku wa Jana TFF na VODACOM wameingia mkataba wa miaka mitatu wa udhamini wa Ligi kuu ya Mpira Tanzania, wenye thamani ya Bilioni 9 (bilioni 3 kila mwaka) hii ikijumuisha uendeshaji wa Ligi, zawadi kwa Washindi na Mengineyo.

Kwa mujibu wa utaratibu MDHAMINI uwa nembo yake inakaa either kifuani au mkononi na nafkiri ili litakuwa hivyoo kwa mujibu wa Utaratibu....

Nakumbuka TFF chini ya Tenga walifika mpaka Uamuzi wa kutaka kuitoa YANGA kwenye ligi kwa kile kilichoitwa kutoheshim mkataba kwan YANGA waligomea kuweka nembo ya VODACOM ambyo ina rangi Nyekundu.

Hakuna Shaka VODACOM ndo Wadhamini wapya wa LIGI KUU TANZANIA. Na taarifa zilizopo Mdhamini atatoa kalibia m50+ kila timu

Je Yanga watakubali kuweka Rangi Nyekundu kifuani au Mkononi au watakula matapishi...???Kama walivyofnya wakati ule wakigomea Udhamin na hela za AZAMTV..

Karibuni kwa maoniii...
 
Wakati ule walikuwa na kiburi cha pesa za Manji. Sasa hawana jinsi lazima nembo nyekundu ikae kifuani au mkononi wapende wasipende. Au sivyo watafute ligi yao wakacheze.
 
Usiku wa Jana TFF na VODACOM wameingia mkataba wa miaka mitatu wa udhamini wa Ligi kuu ya Mpira Tanzania, wenye thamani ya Bilioni 9 (bilioni 3 kila mwaka) hii ikijumuisha uendeshaji wa Ligi, zawadi kwa Washindi na Mengineyo.

Kwa mujibu wa utaratibu MDHAMINI uwa nembo yake inakaa either kifuani au mkononi na nafkiri ili litakuwa hivyoo kwa mujibu wa Utaratibu....

Nakumbuka TFF chini ya Tenga walifika mpaka Uamuzi wa kutaka kuitoa YANGA kwenye ligi kwa kile kilichoitwa kutoheshim mkataba kwan YANGA waligomea kuweka nembo ya VODACOM ambyo ina rangi Nyekundu.

Hakuna Shaka VODACOM ndo Wadhamini wapya wa LIGI KUU TANZANIA. Na taarifa zilizopo Mdhamini atatoa kalibia m50+ kila timu

Je Yanga watakubali kuweka Rangi Nyekundu kifuani au Mkononi au watakula matapishi...???Kama walivyofnya wakati ule wakigomea Udhamin na hela za AZAMTV..

Karibuni kwa maoniii...
kama ni hivi basi yanga ni team moja ya kijinga sana
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nakumbuka lile saga na ninashangaa lilivumiliwa. Ila bongo hatutumii weledi.

Timu haitaki kuvaa nembo ya mdhamini kisa rangi. Na bado unakaa nao chini kujadiliana nao????
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Usiku wa Jana TFF na VODACOM wameingia mkataba wa miaka mitatu wa udhamini wa Ligi kuu ya Mpira Tanzania, wenye thamani ya Bilioni 9 (bilioni 3 kila mwaka) hii ikijumuisha uendeshaji wa Ligi, zawadi kwa Washindi na Mengineyo.

Kwa mujibu wa utaratibu MDHAMINI uwa nembo yake inakaa either kifuani au mkononi na nafkiri ili litakuwa hivyoo kwa mujibu wa Utaratibu....

Nakumbuka TFF chini ya Tenga walifika mpaka Uamuzi wa kutaka kuitoa YANGA kwenye ligi kwa kile kilichoitwa kutoheshim mkataba kwan YANGA waligomea kuweka nembo ya VODACOM ambyo ina rangi Nyekundu.

Hakuna Shaka VODACOM ndo Wadhamini wapya wa LIGI KUU TANZANIA. Na taarifa zilizopo Mdhamini atatoa kalibia m50+ kila timu

Je Yanga watakubali kuweka Rangi Nyekundu kifuani au Mkononi au watakula matapishi...???Kama walivyofnya wakati ule wakigomea Udhamin na hela za AZAMTV..

Karibuni kwa maoniii...
Yanga hutumia nembo ya vodacom yenye rang nyeusi
 
Mimi ni Yanga damu hasa. Twende na wakati kwani rangi nyekundu kitu gani? Maana ya brand ni Nini? Tuvae tu hilo tangazo la voda.
 
Back
Top Bottom