Udhamini wa Lowassa unatia shaka

Umekuja spidi sana, ungejibu vizuri bila kuja kikada ungeeleweka vizuri lakini umekuja kikada sana, endelea kujitoa akili dogo, ENDELEA KUNENEPESHA SHETANI WAKATI KITI ANAKONDA
sijaja kiKADA
elewa majina yanapitia System kwanza (UWT)
 
SAFI SANA
unajua huyu ocampo four anasoma bado ni Mwanachuo na ni wale vijana hawajaanza maisha walipodanganywa tu kuwa 'Vijana ni Bomu litakalolipuka' baasi wamewehukia hapo hapo siwezi bishana naye
hata uwaeleweshe ili Nchi ipate kiongozi muadilifu wao watafumbia hata FISADI
Nimeogopa kumjibu namsubiri hapa Dodoma Julai 2015 wakati wa mchakato, mm nimefanya kazi huko PMO, Symbion na hata Voda nina taarifa za mahoteli yake Malori yake hapahapa Dodoma Tanzania
sasa hao UWT watatakaje ushahidi kutoka kwa mashabiki wakati wanayajua na mmoja wa wapambe wake ni mstaafu toka system, lakini akautana na vigingi wengine toka system kina Pinda, Membe, Mahiga, Kitine nao wameomba
hapa huwezi bishana na hilo kundi
 
Mfalme wa siasa "Mtukufu E.Lowassa"
Hakuna anayekuweza tena ni vema waungane wote wale wafuta vumbi..ndio wa ote kujaribu nguvu yako...

chagua maendeleo..
chagua Lowassa..
 
61 pct ya wapiga kura watakuwa vijana.... Safari hii mnalo ila kaa ukijua oktoba Lowassa anaingia Ikulu haijalishi kwa mlango gani....

Mmeandaa jeshi la waasi kuingia msituni? Mtapigwa ile mbaya, thubutuuuu
 
Ccm utaratibu wa chama ukoje? Lowassa hayuko iringa ila fomu zinasainiwa Nyumba kwa Nyumba wakati sheria ni ofisi ya CCM inakuwaje?
 
Wadhamini wa El lazima wachunguzwe. Inawezakana ni wale ambao wakisikia lowasa anakuja waenda kununua kadi za ccm ili wapate ela.
 
Hii ni Iringa sijui Lowasa kafika lini Iringa lakini form zinatembezwa nyumba kwa nyumba ili aonekane ana wadhamini wengi.

Kweli White house kuna siri imejificha mpaka watu wako tayari kufanya chochote ilimradi tu wakanyage huko.

Mimi sio mshabiki wa Lowasa ,naomba tuache ushabiki usio wa kisomi.Ukisoma fomu hizo zina nembo ya 4U,Wadhamini wanaotafutwa na watia nia ni za CCM sio hizo zilizobandikwa hapo.Tusipotoshe ,Tuwe makini kuchambua habari.

Asante
 
Mkuu acha hizo habari mkuu...Allah ana mipango na wezi na mathalim....

Yani "ana" Na "hana" Ni Maana Mbili Tofautii....

Kwa Jinsi Ulivoandika Ndio Umepoteza Maana Yenyew Kabisa...
 

escrow na IPTlL alinishinikiza nani ? tusadie tumjye?
 
Acha ushabiki hapo si amekutana na wakazi wa mkoa huo katika mikoa aliyotembelea ambao wamekubali kumdhamini. Mbaya ingekuwa sio watanzania. Anaruhusiwa kupata wadhamini ktk mkoa wowote wa JMT
 
Kweli kipenda roho hula nyama mbichi wajameni! Hivi kweli kwa afya aliyo nayo huyu mzee mnamtakia mema nyie mnaotaka awe rais wenu kweli?!
Inadaiwa yeye ni mdogo wa umri kwa jk lakini ukiwasimamisha pamoja El anaonekana mzee zaidi! Kama mnataka awe rais wenu basi mjengee ikulu pale monduli kwake ili awaongoze kwa remote kutokea boma. Vinginevyo hatoweza pirika za magogoni wallahi nasema!
 
Lowasa Aisee ..! I like the guy..! Anapiga KaZi tu Yeye hasikilizi maujinga ya WAJINGA. Realy hatakama humpendi utajikuta unaanza kumpenda tu ..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…