kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,002
- 9,092
Kwanini usitusaidie kwenye usajili achilia zile bilioni 20 za Mwamedi. Hizi 26 zinasaidia vipi timu yetu?
Tunaumia sisi mashabiki. Suala la ngada mbona hamjaomba radhi Ili tujisafishe japo kidogo kwenye hili?
Mabilioni ya udhamini yapo wapi?
Tunaumia sisi mashabiki. Suala la ngada mbona hamjaomba radhi Ili tujisafishe japo kidogo kwenye hili?
Mabilioni ya udhamini yapo wapi?