H Hollyman JF-Expert Member Joined Jan 29, 2013 Posts 283 Reaction score 77 Apr 25, 2017 #1 Elim yavasene wenger Pse mwenye njia mbadala atupe ushauri tukomeshe ujanja ujanja huu. Asanteni
BOMBAY JF-Expert Member Joined Apr 16, 2014 Posts 4,744 Reaction score 3,544 Apr 25, 2017 #2 Mwambieni Lema
The End.. JF-Expert Member Joined Aug 13, 2013 Posts 4,362 Reaction score 3,846 Apr 25, 2017 #3 kwenye curriculum yenu ipo au haipo... au hujui kama ipo au haipo!!!!
Analyse JF-Expert Member Joined Jan 19, 2014 Posts 17,641 Reaction score 47,660 Apr 25, 2017 #4 Unanikumbusha Azaboi enzi hizo. Walimu wa hivyo walikuwa hawashtakiwi bali tunawasubiria nje then tunamalizana kimtaa mtaa.
Unanikumbusha Azaboi enzi hizo. Walimu wa hivyo walikuwa hawashtakiwi bali tunawasubiria nje then tunamalizana kimtaa mtaa.