Udhaifu wa Pinda ni uhodari wa Lowassa?

Udhaifu wa Pinda ni uhodari wa Lowassa?

Joined
Mar 23, 2012
Posts
64
Reaction score
13
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda Anaitwa Dhaifu,Mpole, hana maamuzi, Muongo na Kigeugeu, Je ni kweli? Wapo watu ambao wanaenda mbele zaidi na kusema kuwa hayo yote yanamfanya akose sifa ya kuwa kiongozi wa ngazi kubwa nchini

Kutokana na hayo Makundi mbalimbali yanamtaja Edward Lowassa kuwa ni Mchapakazi, ana maamuzi magumu na anaweza kusimamia utekelezaji wa jambo husika? je nikweli? wengi wanasema anafaa kushika nafasi kubwa nchini wakati ukifika

NAOMBA TUJADILI
 
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda Anaitwa Dhaifu,Mpole, hana maamuzi, Muongo na Kigeugeu, Je ni kweli? Wapo watu ambao wanaenda mbele zaidi na kusema kuwa hayo yote yanamfanya akose sifa ya kuwa kiongozi wa ngazi kubwa nchini

Kutokana na hayo Makundi mbalimbali yanamtaja Edward Lowassa kuwa ni Mchapakazi, ana maamuzi magumu na anaweza kusimamia utekelezaji wa jambo husika? je nikweli? wengi wanasema anafaa kushika nafasi kubwa nchini wakati ukifika

NAOMBA TUJADILI


Maamuzi magumu ni pamoja na kuwa mwizi na fisadi mkubwa. Kama hiyo ndio maana yake, nakubali.
 
Aliposema "Na wapigwe tu tumechoka" mlipiga kelele
 
Mm nakubali asilimia mia lowassa anweza kuongoza hii nchi japo ana kashfa ila ni mchapakazi wa kweli.
Shutuma za kipuuzi zisitunyime kiongozi bora
 
Back
Top Bottom