BVM wanasomea magonjwa wa mifugo na wanyama pori. Hivyo tiba zote za wildlife hufanywa na madakitari wa wanyama (BVM or equivalent). Hutibu wanaofugwa , waporini, wamajini.Wadau Nina sawali; Je mtu aliyesoma BVM(bachelor of veterinary medicine) anaweza Fanya kazi Wildlife :kuwatibu wanyama pori???????
Ndo ilivyo sasa ndo kazi zao hizoWadau Nina sawali; Je mtu aliyesoma BVM(bachelor of veterinary medicine) anaweza Fanya kazi Wildlife :kuwatibu wanyama pori???????