Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Tusipoiambia serikali ukweli tutaangamia bila maarifa.
Tunaambiwa kwamba udaktari ni wito hivyo madaktari wawe kwenye moody hiyo. Lakini hao wanaoambiwa wafanye kazi kwa mode ya wito wanakamuliwa na serikali inayopaswa kuwaatamiza na kuwalinda ili wahudumie wito wao.
Angalia/soma hii screenshot uangalie namna serikali yetu inavyojiendesha kwa UKANDAMIZAJI
Daktari analipia leseni yake kama Wakili anavyolipia leseni. Serikali inafanya biashara na kuvuna kutoka kwenye taaluma ya udaktari. Hata usome vipi udaktari hauwezi kuruhusiwa kufanyakazi nchini bila kulipia Kibali na Kodi ya kupata kibali hiko. Pili utalazimika kulipia leseni kila mwaka. Haya yote ya nini kwa serikali inayojali afya za watu wake?
Haya ni matatizo yatokanayo na kuacha mfumo ulioshindwa kuendelea kushika hatamu za nchi. Sanduku la kura liheshimiwe
Wizara ya Afya Tanzania nawakaribisha mtueleweshe haya mambo yana mantiki gani kisekta? Mnawakamua kisha mnawaambia ni wito. Kwa nini wito huo usianzie serikalini kama mfano?
Tunaambiwa kwamba udaktari ni wito hivyo madaktari wawe kwenye moody hiyo. Lakini hao wanaoambiwa wafanye kazi kwa mode ya wito wanakamuliwa na serikali inayopaswa kuwaatamiza na kuwalinda ili wahudumie wito wao.
Angalia/soma hii screenshot uangalie namna serikali yetu inavyojiendesha kwa UKANDAMIZAJI
Daktari analipia leseni yake kama Wakili anavyolipia leseni. Serikali inafanya biashara na kuvuna kutoka kwenye taaluma ya udaktari. Hata usome vipi udaktari hauwezi kuruhusiwa kufanyakazi nchini bila kulipia Kibali na Kodi ya kupata kibali hiko. Pili utalazimika kulipia leseni kila mwaka. Haya yote ya nini kwa serikali inayojali afya za watu wake?
Haya ni matatizo yatokanayo na kuacha mfumo ulioshindwa kuendelea kushika hatamu za nchi. Sanduku la kura liheshimiwe
Wizara ya Afya Tanzania nawakaribisha mtueleweshe haya mambo yana mantiki gani kisekta? Mnawakamua kisha mnawaambia ni wito. Kwa nini wito huo usianzie serikalini kama mfano?