Udahili wa wanafunzi vyuo vya afya mwaka 2019

Udahili wa wanafunzi vyuo vya afya mwaka 2019

Rwebo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2015
Posts
1,585
Reaction score
2,015
Naomba kufahamishwa udahili kwenye vyuo vya afya mwaka huu najua unaaza 15/may Ila tatizo langu sijui ndio tarehe ya kuanza kutuma maombi vyuo ni au? Tafadhali saidia
 
Naomba kufahamishwa udahili kwenye vyuo vya afya mwaka huu najua unaaza 15/may Ila tatizo langu sijui ndio tarehe ya kuanza kutuma maombi vyuo ni au? Tafadhali saidia
Usituchoshe..ingia website ya nacte utapata info zote.
 
Uwe unatembelea website ya nacte tu.
Pia siku hizi ujanja kufika chuo husika ukitakacho, huwez kosa nafasi ni hela yako tu ya ada
 
Kwa private lakini mkuu
Uwe unatembelea website ya nacte tu.
Pia siku hizi ujanja kufika chuo husika ukitakacho, huwez kosa nafasi ni hela yako tu ya ada
 
Vyuo vya serikali unaweza kwenda pale pale chuoni kufany apapplication na kama ukiomba online mpaka upate chuo ningumu Maaana nimeomba kibaha cotc pale na wanataka male 40 na female 40 na ambao wameshaomba ni 1027 naomba kusaidiwa vyuo vingine vizuri vya serikali
 
Mwenye mawasiliano ya chuo cha Afya Bagamoyo naomba anisaidie
 
madogo mtakuja kulia pale mtakapojiona mnaenda kusoma kozi ambayo haukua na mpango nayo unataka udaktari au unesi una div one kali au bora div one,
 
Back
Top Bottom