Big up mkuu!imetuliaMteja siku#1;naomba chakula cha mbwa. Muuzaji;Una mbwa kweli?,sikuuzii mpaka umlete huyo mbwa.> Mteja siku#2;naomba chakula cha paka.Muuzaji;sikuuzii mpaka umlete huyo paka wako nimuone...(siku nyingine yule jamaa akafika dukani akiwa na mfuko wa rambo akampa muuzaji). Muuzaji;Aisee hii kitu gani,mbona laini halafu ya moto?.Mteja;Hayo ni mavi ya binadamu,haya naomba Toilet paper!
hahaha dah u made me laugh...9c one,sema tatizo nimesoma hko kchekesho wakati npo mezan nakula..ewww