Sivuti picha kama ukakuta Hazimatch?Mi mwenzio nilitia shaka lakin busara zangu zikaniambia nisilifanye hilo swala nilee tu maana mtoto mpaka mama kamchagua mlee wewe ujue unafaa kimalezi kushinda huyo jamaa mwingine.WABONGO NI PASUA VICHWA ASIKUAMBIE MTU.
Du, hii kali, siku zote wanasema mbona anafanana na wewe, nataka nidhibitishe kweli kama ni mimi basi itakuwa vema na nitaendelea kulea kwa moyo wote kama nilionao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.