Uchumi wameukamata....mpaka siasa pia?

Uchumi wameukamata....mpaka siasa pia?

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,413
Niko Bongo kwa muda, nimejaribu kuzunguka maeneo ya Mjini,Upanga, Mchafukoge,Kariakoo...n.k.Nimekutana na mabango makubwa ya ccm yenye wagombea wa udiwani na baadhi ya Wabunge yote yana picha za Wahindi, kwa kweli ni jambo la kuhuzunisha sana. Hivi hawa watu wamekamata Uchumi wote, na siasa pia??? Mtanzania halisi hivi leo atakimbilia wapi?? Hivi sasa naamini kabisa Bwana Gadafi yuko sahihi kabisa kutuita sisi ni Ma Ignorants.Haya mambo sasa tunayofanyiwa na serekali yetu ni TOO MUCH.... hii ni sawa na mtu kukupiga finger ya makalioni kisha akakwambia nusa nusa nusa!!!
 
Nimeweka post humu leo nikielezea hili jambo! Hawa jamaa, ambao katika maisha ya kila siku, wako mali na jamii ya wazalendo, wameibuka kwa kishindo na kuikumbatia ccm. Hebu fikiria, ingekuwa ni zile enzi za Mwl. Nyerere wangefanya hivyo? La hasha. Sera za ccm zinakwenda sambamba na mahitaji yao, na ndio maana wengi wanakishabikia. Karl Marx aliwahi kusema kuwa,' ukitaka nguvu za utawala, lazima uwe na nguvu za kiuchumi'. Hawa wanazo za kiuchumi na sasa wanataka kutawala, kupitia Waafrika wenzetu. Watanzania tuamke, huu ni ukoloni wa sura nyingine, ni ukoloni mamboleo. Ukoloni mamboleo ni pale unadhani unatawala, kumbe kuna mtu mwingine anayefaidi ameshikilia hatamu, na wananchi ndio kama farasi.
 
DR. SLAA FOR PRESIDENT.... Haya yote tutayasahau, WAKENYA wameweza Jamani, kwanini sisi tushindwe?
2010.. HATUDANGANYIKI.
 
Niko Bongo kwa muda, nimejaribu kuzunguka maeneo ya Mjini,Upanga, Mchafukoge,Kariakoo...n.k.Nimekutana na mabango makubwa ya ccm yenye wagombea wa udiwani na baadhi ya Wabunge yote yana picha za Wahindi, kwa kweli ni jambo la kuhuzunisha sana. Hivi hawa watu wamekamata Uchumi wote, na siasa pia??? Mtanzania halisi hivi leo atakimbilia wapi?? Hivi sasa naamini kabisa Bwana Gadafi yuko sahihi kabisa kutuita sisi ni Ma Ignorants.Haya mambo sasa tunayofanyiwa na serekali yetu ni TOO MUCH.... hii ni sawa na mtu kukupiga finger ya makalioni kisha akakwambia nusa nusa nusa!!!
hapo mkuu umesema kweli kabisa........ JK ametusaliti vya kutosha..... enough enough enough!!!
 
Niko Bongo kwa muda, nimejaribu kuzunguka maeneo ya Mjini,Upanga, Mchafukoge,Kariakoo...n.k.Nimekutana na mabango makubwa ya ccm yenye wagombea wa udiwani na baadhi ya Wabunge yote yana picha za Wahindi, kwa kweli ni jambo la kuhuzunisha sana. Hivi hawa watu wamekamata Uchumi wote, na siasa pia??? Mtanzania halisi hivi leo atakimbilia wapi?? Hivi sasa naamini kabisa Bwana Gadafi yuko sahihi kabisa kutuita sisi ni Ma Ignorants.Haya mambo sasa tunayofanyiwa na serekali yetu ni TOO MUCH.... hii ni sawa na mtu kukupiga finger ya makalioni kisha akakwambia nusa nusa nusa!!!
hapo pia mkuu unesema kweli kama signature yako inavyojieleza
 
Niko Bongo kwa muda, nimejaribu kuzunguka maeneo ya Mjini,Upanga, Mchafukoge,Kariakoo...n.k.Nimekutana na mabango makubwa ya ccm yenye wagombea wa udiwani na baadhi ya Wabunge yote yana picha za Wahindi, kwa kweli ni jambo la kuhuzunisha sana. Hivi hawa watu wamekamata Uchumi wote, na siasa pia??? Mtanzania halisi hivi leo atakimbilia wapi?? Hivi sasa naamini kabisa Bwana Gadafi yuko sahihi kabisa kutuita sisi ni Ma Ignorants.Haya mambo sasa tunayofanyiwa na serekali yetu ni TOO MUCH.... hii ni sawa na mtu kukupiga finger ya makalioni kisha akakwambia nusa nusa nusa!!!

This can only be found in Tanzania!...not anywhere else on Eath!..huh!
 
hapo mkuu umesema kweli kabisa........ JK ametusaliti vya kutosha..... enough enough enough!!!
Kweli we ni chizi, hivi kikwete ndo aliowapigia kura wakapita? akina marehemu Gulamali walikuwa wabunge kipindi cha jk? Kata kawa wanaomaliza muda wao aliewapitisha ni JK? kwani Mkapa si ndo alikuwa mwenyekiti kati anawapitisha akina dDewji, Zungu na wengine, sasa JK anahusika vipi? Yaani mijitu mingine bwana ukisoma habari zao mpaka zinaudhi, sijui wanaongelea kwenye madhabahu yao! Aggghhhh... Baada ya oct 31 yataadhiraka sana haya majitu. Aibu iwe juu yao.
 
Niko Bongo kwa muda, nimejaribu kuzunguka maeneo ya Mjini,Upanga, Mchafukoge,Kariakoo...n.k.Nimekutana na mabango makubwa ya ccm yenye wagombea wa udiwani na baadhi ya Wabunge yote yana picha za Wahindi, kwa kweli ni jambo la kuhuzunisha sana. Hivi hawa watu wamekamata Uchumi wote, na siasa pia??? Mtanzania halisi hivi leo atakimbilia wapi?? Hivi sasa naamini kabisa Bwana Gadafi yuko sahihi kabisa kutuita sisi ni Ma Ignorants.Haya mambo sasa tunayofanyiwa na serekali yetu ni TOO MUCH.... hii ni sawa na mtu kukupiga finger ya makalioni kisha akakwambia nusa nusa nusa!!!


Duh, ukweli unauma bwana! imeniuma mpaka basi tena, niko ughaibuni lakini nikiona jinsi hawa jamaa nilipo walivyo serious na utaifa wao ni mpaka raha. jama hata kwenye TV zao wanaonyesha nani kafanya nini kwa ajili ya nchi yao, kwa ufupi tunaacha wenyewe kufanya vitu vinavyotufanya kuendelea kuishi hata baada ya kufa.

Fikiria leo hii kiongozi wa ccm akifa, tutamkumbuka kwa lipi la maana ambalo vijana wetu, watoto wetu wajukuu wetu watakuwa wanaonyeshwa kuwa huyu jamaa bwana aliweza kuondoa ujinga nchini, aliweza kutupa morali ya kufanya kazi mpaka tukashika namba moja duniani kwa uchumi imara.
Ngoja niishie hapo maana nalia jamani, nikiwa auchungu wa nchi yangu.
 
Mi sioni kama ni kosa kama uhumiaji wanawajua kama ni raia wa tz rejea types of citizen
 
Back
Top Bottom