Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,413
Niko Bongo kwa muda, nimejaribu kuzunguka maeneo ya Mjini,Upanga, Mchafukoge,Kariakoo...n.k.Nimekutana na mabango makubwa ya ccm yenye wagombea wa udiwani na baadhi ya Wabunge yote yana picha za Wahindi, kwa kweli ni jambo la kuhuzunisha sana. Hivi hawa watu wamekamata Uchumi wote, na siasa pia??? Mtanzania halisi hivi leo atakimbilia wapi?? Hivi sasa naamini kabisa Bwana Gadafi yuko sahihi kabisa kutuita sisi ni Ma Ignorants.Haya mambo sasa tunayofanyiwa na serekali yetu ni TOO MUCH.... hii ni sawa na mtu kukupiga finger ya makalioni kisha akakwambia nusa nusa nusa!!!