blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,092
- 7,468
Mwanzo ulikuwa unang’ata na kupuliza, naona dawa imekuingia umeamua kung’ata kabisa 😂😂
Anasimamia Miguu ndo maana anaweza kutoa maoni kwa uhuru na uhakika.Wasiokuwa na misimamo huwa wanajikomba tu na kuburuzwapascal,Mzee wa kuima na kupuliza hujulikani upo wapi moto au baridi?,mwanaume gani hujui unasimamia nini katika maisha! kazi unayo
Hahaaa!!nacheka km mazuriiiWanabodi
Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania ya Magufuli, ambayo umekuwa ukikua kwa asilimia zaidi ya asilimia 7% kwa mwaka, sasa kasi hiyo imeanza kuporomoka ambapo sekta binafsi ndio mhanga mkuu kwa Ku suffer.
Ku suffer huko kulianzia kufungwa kwa maduka makubwa ya bidhaa na supermarkets.
Yakafuata baadhi ya mashirika na makampuni kufilisika hivyo kupunguza wafanyakazi, sasa kibano hicho kimeigusa sekta ya Media ambapo media kubwa kabisa nchini zimeanza kutikisika.
Kwenye media ilianza Star TV, kati ya wafanyakazi 400, ililazimika kupunguza wafanyakazi 200!.
Leo kumepatikana taarifa ya wafanyakazi wa gazeti kubwa la the Guardian, hawajalipwa mishahara kwa miezi 3, hivyo kitakachofuata ni kupunguza wafanyakazi.
Japo familia ya the Citizen Mwananchi, hawajaniingizia kibano, lakini kama hii ndio hali halisi ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, then hata Citizens, litakuwa halina jinsi, lazima nalo soon litatangaza kupunguza wafanyakazi.
Mimi mwenyewe, Kampuni yangu ya PPR, mwanzo tulikuwa na wafanyakazi 20, tukipangisha jengo la NHC pale Mtaa wa Mkwepu Kwa kodi ya pango kwa mwezi, ya zaidi ya mshahara wa DC, sasa hakuna tena tenders za serikali, mwaka huu pia tenda zangu za kutangaza Maonyesho ya Saba Saba na Nane Nane zimefutwa, hivyo tumepunguza wafanyakazi 15!, tumebaki 5!. Na Mtaa wa Mkwepu tumehama, tumehamia jengo la Posta House!.
Wito kwa waandishi wenzangu, kwa hali hii ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, usisubiri kupunguzwa kazi, bali sasa kwa sisi wanaume tufuge kuku (kazi ya kujiajiri) na njiwa (kazi ya kuajiriwa), ili njiwa akiruka, ubaki na kuku.
Kwa waandishi wa kike, kwenye kazi ya kuteka maji, teka maji kwenye ndoo (kazi ya kudumu) na kudumu (kujiajiri), ili maji ya kwenye ndoo yakimwagika, ubaki na kidumu.
Kiukweli kabisa Media tuna hali ngumu!.
Mungu saidia.
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Magufuli aweze.
Jumatano Njema.
Paskali
Hahaaa!!!JAMANIII KAHHHH2020 lazima tuishangaze dunia...kama siyo kushinda medali ya dhahabu mbio za mita 100 Tokyo basi tumpige mtu chini.
Hela chafu unaijuaje?Business restructuring, kulikuwa na hela chafu zisizokuwa na tija mtaani- hizi zimepotea na madhara yake pengine ndiyo haya. Kufungwa kwa biashara zipo sababu nyingi maana hata kipindi kile unachodhani hali ilikuwa salama pia biashara zilikuwa zinafungwa na biashara mpya zinafunguliwa.
I niko tayar mkuu kuingia bara baraniRais akishindwa ni jukumu la wananchi wa nchi ile kumuondoa madarakani kwa lazima. Magufuli alishashindwa kitambooo..Mimi nilimuona ni Rais wa ajabu sana mwanzoni tu mwa mwaka 2016 na nikamchukulia kama nyoka anayeninyemelea. Niliamua na sasa nimesepa. Huyo mtu siyo kabisa....Sijui kwanini haelewi? Mtu huwezi kuongoza nchi lakini bado king'ang'anizi. Ondoka! Mimi ni mmoja wa wanaoamini kuwa muuaji wa Tanzania kwa sasa ni Rais John Pombe Magufuli.
Usijali,we will surviveAll negative things that affect other people are not permitted to affect me.In the name of Allah ..Wote tuseme Insha'Allah