KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 4,603
- 4,203
Paskali kalisema sana The Economist ambao wanalaumu Siasa kuingilia mambo ya Uchumi. Lakini katika rejea yake kuhusu mdororo wa uchumi unaotukodorea mimacho kalitaja likielezea suala hili. Ukweli utabaki kuwa kweli hata kama utatafuta njia ya kuupindisha.